Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Huyu mama ninayajua yake mengi tuu afunike kombe asitake kutufanya tukala ban za kuamkia alivoutaka huo ubunge kwa maslahi ya biashara zake tulipandishiwa ada shulen mwake wakati sikufadika na elimu niliopewa pale zaidi ya matanuzi bass nashkuru mungu tuition zangu za mwenge ndio ilionipa mkopo udsm na mukitaka historia ya kuwanza kuitwa mchungaji nitakupeni
 
Huyu mama ninayajua yake mengi tuu afunike kombe asitake kutufanya tukala ban za kuamkia alivoutaka huo ubunge kwa maslahi ya biashara zake tulipandishiwa ada shulen mwake wakati sikufadika na elimu niliopewa pale zaidi ya matanuzi bass nashkuru mungu tuition zangu za mwenge ndio ilionipa mkopo udsm na mukitaka historia ya kuwanza kuitwa mchungaji nitakupeni

Funguka mkuu hii ndo jf tunamwagw kila kitu hadharani.
 
Alianza kimashara mashhara tuu jumapili tuliokua tunaishi mabwenini tunaenda kwake mikocheni si unajua tena mara watu wanaomba mara mambo ya kwaya mara gafla tukaskia wakatare ameenda nairobi within three mnths anarudi ashakua mchungaji tena na dr duh hii kali nilicheka sanaaaA me ningeshauri kwa nia njema tuu waende wakaguzi wa mahesabu wa TRA wakakague asitumie ubunge kuendeleza biashara zake
 
Liko wapi gazeti la MWANAHALISI? kimasihara wamelifungia,hawa watu akili zao zinawatoshaga wenyewe tuu....
 
Lwakatale ni tapeli, mwizi wa roho za watu wenye shida. Anawadanganya kuwa shida zao zitaisha. Ikitokea kuwa na forum za kumwambia ukweli anakuwa mbogo. Anawadanganya watu wasio na matumaini, kama waliokosa watoto/uzazi, mahanisi (wanaume, magonjwa yasiyotibika eti kwa kuwaombea watapona.

Uongo hakuna atakayezaa na umri wa miaka 60 mwanamke!!! anampa hope eti ana nguvu za kumwombea akazaa. Ukiwafumbua macho kwa uongo kama huo ndani ya JF tukufu, anapeleka bungeni ufungwe!1 Shame!!
Utamduni anaouhitaji Mch Dr Lwakatare,ni wa CCM na serikali yake wa kuwaibia Watanzania.ADUI NAMBA MOJA WA WATANZANIA KATIKA MIAKA HII YA SASA NI CCM NA SERIKALI YAKE.
 
[h=2]Mama Lwakatare mungu akurehemuu.. akupumzishe kabla umma haujakupumzisha[/h]
 
Utamduni anaouhitaji Mch Dr Lwakatare,ni wa CCM na serikali yake wa kuwaibia Watanzania.ADUI NAMBA MOJA WA WATANZANIA KATIKA MIAKA HII YA SASA NI CCM NA SERIKALI YAKE.

Hayo hayo ya tapeli Antony Lusekelo! Anaupako wa Mungu , huyo huyo anakusanya senti tano, elfu moja na kumi toka kwa watu maskini (tena hadharani kwenye jukwaa) waliokuja kwake na matumaini ya miujiza ya kupata watoto, utajiri, kupona magonjwa sugu etc!!!!!! Kama una upako, si upako huo ukupe nguvu ya kutelemsha pesa toka huko unakop[ata upako kuliko kuwanyanganya hawa maskini hata kidogo walicho nacho. LAANA INAKUSUBIRI ANTONY LUSEKELO!
 
Msameheni huyo ana msongo wa mawazo biashara zake haziendi vizuri.si juzi tuu tanesco walishtukia anaiba umeme?
 
Akishamaliza kuipigia debe JF ambao haujasajiriwa Bongo ifungwe siajabu siku moja akaibuka na kutaka Facebook,tweeter na Youtube zifungwe kwa sababu zinaongelea vibaya serikali. Unataka kuficha nini? Kwa zama hizi hakuna utakalofanya watu wasilijue. JF Foreveeeeeeeer.
 
mama lwakatare si wote uwaonao kanisani kwako ni waumini wako ,hata tukija kwako wote hutaweza kutudanganya wote kwa wakati mmoja ,tunaposhindwa kukuambia ukweli ,tutakuambia kwa njia ya magazeti , mitandao ya kijamii na ujumbe utaupata tu ,kubali kwenda na kasi hii ya kizazi hiki cha digital ....pole mama kwa yaliyokusibu .
 
huyo mama aache kuongea sana...ana rocha,achune kimya...mi nmesoma shule zake anakuja na wadhamin wanatupiga picha wakidhan cc yatima tunasoma bure wakat tuna tulkuawa tunatoa malak,afu aache kuchochea ubaguz anaona wakenya wanajua wakat vlaza weng naishukuru tuition imentoa.....kwanza wafanya kaz wako huwalip kaz kulala bungen kujenga bangalo lako na kuongeza ada shulen kwa....MBULULAAAA!!
 
Ni muda mrefu sasa gazeti la mwanahalisi limefungiwa kwa sababu za kisiasa. Wanaharakati tuungane kushinikiza gazeti hili kipenzi cha watanzania lifunguliwe. Vyama vya siasa makini pia vichangie kuhusu suala la mwanahalisi kufunguliwa kwa kuishinikiza serikali ifuate sheria kwa kuifungulia kesi gazeti hilo na si kuliweka kizuizini kama mhaini. Naomba mchango wenu.
 
Huyo mama anatapatapa tu anajaribu kutafuta njia za kubaki 2015, anaona kuwa JF ni tishio kwake na wazushi wenzake
 
Back
Top Bottom