Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,484
- 2,890
Inawezekana mama Getrude Rwakatare alikosea kutoa hoja JF ifungwe. Kukosea ni sehemu ya ubinadamu na kila mmoja huwa kuna mahali anakosea.
Mama Getrude kamaliza safari yake.
Faraja ya Mungu na iwe juu ya familia yake, kanisani kwake, shule za St. Marys, Bunge la JMT na Watanzania wote kwa kuondokewa na mama, kiongozi na mwanajamii mwenzetu.
Mama Getrude kamaliza safari yake.
Faraja ya Mungu na iwe juu ya familia yake, kanisani kwake, shule za St. Marys, Bunge la JMT na Watanzania wote kwa kuondokewa na mama, kiongozi na mwanajamii mwenzetu.