Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Wana JF kutokana na mtandao huu wa kijamii kuibua na kueneza siri za Serikali Wabunge wa CCM wameridhia Mtandao huo ufungwe kama ilivyokuwa Ze Utamu na Mtoa Hoja ni Mchungaji Getrude Lwakatale, Leo pia kapeleka swali lake Bungeni.

Waziri kaitetea JF na kuwashauri wabunge kuwa ni chombo cha habari cha kijamii.

UPDATE:
Makaburi yanafukuliwa
 
Unanijua wewe ?Bibi ?Nimekuzalia mama yako au baba yako ?Tatizo mmeijua JF baada ya smart phone kuja. Mimi nilijiandikisha JF kwa kutumia Computer. Sema asante kwa mchina .
So una miaka kumi na ngapi sasa ?

Acha kukaa kihasara hasara
 
Lwakatale ni tapeli, mwizi wa roho za watu wenye shida. Anawadanganya kuwa shida zao zitaisha. Ikitokea kuwa na forum za kumwambia ukweli anakuwa mbogo. Anawadanganya watu wasio na matumaini, kama waliokosa watoto/uzazi, mahanisi (wanaume, magonjwa yasiyotibika eti kwa kuwaombea watapona.

Uongo hakuna atakayezaa na umri wa miaka 60 mwanamke!!! anampa hope eti ana nguvu za kumwombea akazaa. Ukiwafumbua macho kwa uongo kama huo ndani ya JF tukufu, anapeleka bungeni ufungwe!1 Shame!!

Bora ulimtambua huyo mama.
 
Back
Top Bottom