Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Lwakatale ni tapeli, mwizi wa roho za watu wenye shida. Anawadanganya kuwa shida zao zitaisha. Ikitokea kuwa na forum za kumwambia ukweli anakuwa mbogo. Anawadanganya watu wasio na matumaini, kama waliokosa watoto/uzazi, mahanisi (wanaume, magonjwa yasiyotibika eti kwa kuwaombea watapona.

Uongo hakuna atakayezaa na umri wa miaka 60 mwanamke!!! anampa hope eti ana nguvu za kumwombea akazaa. Ukiwafumbua macho kwa uongo kama huo ndani ya JF tukufu, anapeleka bungeni ufungwe!1 Shame!!
ri


mama kafilisika kweli,badala ya kuhubiri watu waaache njia zao mbaya na kuenenda katika njia impendezao mungu anakaa kudanganya watu kuhubiri biashara ya kuwajaza watu mapesa ambayo hawawezi kuwa nayo..hubiri watu waijue kweli na kweli iwaweke huru,Nani asiyejua kama wewe ni type of business churches kama tunazoziona nigeria na kwingineko na zilifungamana na freemasonry doctrines?umakalia kujikoboa uso na mikorogo na micheni tu..hivyo ndivyo vitabu vitakatifu vinataka uenende?

kama wewe kweli unaombea watui na ukawasaidia basi umwombee mwanao wa kumzaa HUMPHREY LWAKATARE ambaye ni mlevi mbwaaa kila siku ya mungu analewa kiasi kwamba hata ukimwekea tofali moja alipande upande wa pili hawezi.
Miguu imekwisha nguvu kwa pombe.yani mkama hajanywa unaweza kumuhurumia...sasa anza na mwanao manake charity start at home...au ndiyo msukule wako unaokuletea mali zako?

wanajamii hiii ni true stori kama hanmuamini nendeni shekilango magorofani muulizieni muone.
 
Lwakatale ni tapeli, mwizi wa roho za watu wenye shida. Anawadanganya kuwa shida zao zitaisha. Ikitokea kuwa na forum za kumwambia ukweli anakuwa mbogo. Anawadanganya watu wasio na matumaini, kama waliokosa watoto/uzazi, mahanisi (wanaume, magonjwa yasiyotibika eti kwa kuwaombea watapona.

Uongo hakuna atakayezaa na umri wa miaka 60 mwanamke!!! anampa hope eti ana nguvu za kumwombea akazaa. Ukiwafumbua macho kwa uongo kama huo ndani ya JF tukufu, anapeleka bungeni ufungwe!1 Shame!!
ri


mama kafilisika kweli,badala ya kuhubiri watu waaache njia zao mbaya na kuenenda katika njia impendezao mungu anakaa kudanganya watu kuhubiri biashara ya kuwajaza watu mapesa ambayo hawawezi kuwa nayo..hubiri watu waijue kweli na kweli iwaweke huru,Nani asiyejua kama wewe ni type of business churches kama tunazoziona nigeria na kwingineko na zilifungamana na freemasonry doctrines?umakalia kujikoboa uso na mikorogo na micheni tu..hivyo ndivyo vitabu vitakatifu vinataka uenende?

kama wewe kweli unaombea watui na ukawasaidia basi umwombee mwanao wa kumzaa HUMPHREY LWAKATARE ambaye ni mlevi mbwaaa kila siku ya mungu analewa kiasi kwamba hata ukimwekea tofali moja alipande upande wa pili hawezi.
Miguu imekwisha nguvu kwa pombe.yani mkama hajanywa unaweza kumuhurumia...sasa anza na mwanao manake charity start at home...au ndiyo msukule wako unaokuletea mali zako?

wanajamii hiii ni true stori kama hanmuamini nendeni shekilango magorofani muulizieni muone.

jamii forum itaendelea kuwepo ka ma kawa
 
huyo mama aache kuongea sana...ana rocha,achune kimya...mi nmesoma shule zake anakuja na wadhamin wanatupiga picha wakidhan cc yatima tunasoma bure wakat tuna tulkuawa tunatoa malak,afu aache kuchochea ubaguz anaona wakenya wanajua wakat vlaza weng naishukuru tuition imentoa.....kwanza wafanya kaz wako huwalip kaz kulala bungen kujenga bangalo lako na kuongeza ada shulen kwa....MBULULAAAA!!

Swadaqta kamanda kuna kipindi kama sikosei 2004 walikuja wajapani akawaleta kings tower (kwa wale walosoma st marys ya mbezi wanaifahamu) si wakawa nanachukua video kumbe yule mama anasema sisi ni mayatima wakati tunalipa mahela chungu mzima na ndio maana mungu anamlipa kwa wanawe akina r.m yule mwengne mlevi mpaka akamhonga gari dem moja wa shule yaani we acha tuu
 
ri


mama kafilisika kweli,badala ya kuhubiri watu waaache njia zao mbaya na kuenenda katika njia impendezao mungu anakaa kudanganya watu kuhubiri biashara ya kuwajaza watu mapesa ambayo hawawezi kuwa nayo..hubiri watu waijue kweli na kweli iwaweke huru,Nani asiyejua kama wewe ni type of business churches kama tunazoziona nigeria na kwingineko na zilifungamana na freemasonry doctrines?umakalia kujikoboa uso na mikorogo na micheni tu..hivyo ndivyo vitabu vitakatifu vinataka uenende?

kama wewe kweli unaombea watui na ukawasaidia basi umwombee mwanao wa kumzaa HUMPHREY LWAKATARE ambaye ni mlevi mbwaaa kila siku ya mungu analewa kiasi kwamba hata ukimwekea tofali moja alipande upande wa pili hawezi.
Miguu imekwisha nguvu kwa pombe.yani mkama hajanywa unaweza kumuhurumia...sasa anza na mwanao manake charity start at home...au ndiyo msukule wako unaokuletea mali zako?

wanajamii hiii ni true stori kama hanmuamini nendeni shekilango magorofani muulizieni muone.

Mungu angekua Juma....

Unaona hana right kuhubiri,wakati wewe mtumishi unatoa frustrations zako kwake as if wewe ni mtakatifu...

Una Hakika hauna interest zako kwake?
 
JF Founder/team ilienda bungeni mwaka jana kama uzee haujafuta kumbukumbu zangu, huyo Mh Mchungaji Dr Mama Rwakatare siku hiyo hakuwepo bungeni?

Huyo mama si ni mchumia tumbo tu! Ushaona Askofu, Mapadre, Pope ni mwanachama wa chama cha siasa duniani? Hili ni swali na waumini wake wamuulize, Je anatumikia Mungu au Kaisari?
 
Nimepitia kila komenti,kama asingefariki huu uzi nisingeuona....marehemu alikuwa na hila juu ya JF.Mwenyezi Mungu amrehemu mja wake huyo.R.I.P
 
Back
Top Bottom