TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Mchungaji Rwakatare anatakiwa alipe Madeni yake Tanesco,maana ni mmoja wa watu wanaohujumu Tanesco kupitia shule zake za St.Mary's
mkuu hapo kwenye ******** (red) mie namalizia kabisa.. MASABURIMkuu karibu hapa JF, mimi naitwa only83..JF ni zaidi ya uijuavyo..hata mkuu wa kaya ni member hapa na uwa anafaidika na mawazo ya wanaJF.. wazo la kuwa JF ni ya CDM nadhani ni ule muendelezo wenu wa kutumia kufikiria kwa kutumia ********
Kama vijana na wanachama wa magamba hawajui umuhimu wa kutumia mitandao kama sehemu ya kujijenga msisingizie JF kuwa ni ya CDM..Hakuna uhusiano wa JF na CDM isipokuwa member wengi wa JF wanaweza kuwa ni wanachama wa CDM, japo sina uhakika sana na hili.
Yule kwao hapo Morogoro, wala co BK...viti maalumu,Chama Cha Mapinduzi.Yeye amepewa uhuru wa kuongea kupitia mahubiri yake lakini wenzio wanaotumia fursa ya mitandao anawaonea wivu.Kama vipi arudi kulima ndizi Bukoba
Kibibi cha watu kumbe kijizi
Lwakatale ni tapeli, mwizi wa roho za watu wenye shida. Anawadanganya kuwa shida zao zitaisha. Ikitokea kuwa na forum za kumwambia ukweli anakuwa mbogo. Anawadanganya watu wasio na matumaini, kama waliokosa watoto/uzazi, mahanisi (wanaume, magonjwa yasiyotibika eti kwa kuwaombea watapona.
Uongo hakuna atakayezaa na umri wa miaka 60 mwanamke!!! anampa hope eti ana nguvu za kumwombea akazaa. Ukiwafumbua macho kwa uongo kama huo ndani ya JF tukufu, anapeleka bungeni ufungwe!1 Shame!!