jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Mkuu, nimeipenda posting yako, FYI, kabla ya wazungu kupeleka dini uchagani,kuna wanaoamini kuwa mashetani ni watu.Kiranga ini bora kumpenda shetani kuliko Hitler..kwani inawezekana existence ya shetani ni kama hoax tu na unaweza kukuta shetani ha exist.huyu jamaa inawezekana kweli hamjui wala hajasoma historia ya hitler vizuri.
Bob Marley aliweka uzito kwenye hoja aliposema most people look at the sky for almighty God, ila aliamini kuwa hata Mungu yulo pamoja nasi na si mawinguni or smewhere else.
Ndo maana Kiranga mwanasayansi anawashinda kwa hoja kwasababu haamini.