Mbona unalia lia....!!
Jana baada ya kupewa na kichapo na Taliban kwa kuwaingilia kwao, hasira zao wamekwenda kupiga mabomu hospitali halafu leo mnajidai eti "mama ni mama".
Hawana u mama hao mashetani.
Soma: Kunduz hospital bombing could amount to war crime, says UN | News | DW.COM | 03.10.2015
Jana baada ya kupewa na kichapo na Taliban kwa kuwaingilia kwao, hasira zao wamekwenda kupiga mabomu hospitali halafu leo mnajidai eti "mama ni mama".
Hawana u mama hao mashetani.![]()
Soma: Kunduz hospital bombing could amount to war crime, says UN | News | DW.COM | 03.10.2015
Naam nalia sana usiku na mchana, kwa unyama kama huu:
![]()
Walikosa nini hao?
Halafu anakuja mtu eti anawasifu.
Halafu kuna watu hata uwaweke kwenye ignore list, uwaonye wazi wazi wasikufuate fate hayasikii sijui wanawashwa na nini?
Makafiri wafe tu maana wakifa dini yao inasema wanakwenda mojakwamoja peponi. Kwahiyo hawa Makafiri wawe watoto Au wazee Au vijana wafe tuuuu maana kufa ni kwenda peponi. Hujawaona mahujaji wamekwenda kumpiga mawe shetani alafu shetani kawapiga bao ya watu zaidi ya elfu nne! !!!! Lakini pia huwa najiuliza mji mtakatifu unakuwa na makao ya shetani tena?
Ha ha ha nimecheka sana kwa hii comment ( kichwani weupe)
Always mtu anayeshindwa kuhimili hoja na kuleta vijembe kashfa na matusi huyo ni kweupe upstairs always mtu anayeshindwa kujenga hoja binafsi na kukimbilia kupakua madude mitandaoni huyo ni mweupe ndani ya medula yake.. Hii tunaita crippled mind...ni watu wenye inferiority complex mbaya sana, hawajiwezi hawajiamini defensive mechanism yao kubwa ni udini na mipasho
Jana baada ya kupewa na kichapo na Taliban kwa kuwaingilia kwao, hasira zao wamekwenda kupiga mabomu hospitali halafu leo mnajidai eti "mama ni mama".
Hawana u mama hao mashetani.
Soma: Kunduz hospital bombing could amount to war crime, says UN | News | DW.COM | 03.10.2015
FaizaFoxy hebu jaribu ubase kwenye maada husika. Hayo ya kuleta udini hayana maana mkuu, dini tumeletewa tu na watu flan kama walivyoleta siasa.
Hivi hujiulizi kwann mambo yaliyoletwa na watu weupe yanatufanya tugombane sisi watu weusi?
Mungu alituumba binadamu na alituasa kumwabudu na kufanya yampendezayo. Lakn hakuumba dini