TANZIA Mama mzazi wa Carina afariki dunia

TANZIA Mama mzazi wa Carina afariki dunia

Risen man

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
20,005
Reaction score
54,085
Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.

Mama Carina amefariki leo baada ya mwanae kufariki siku arobaini nyuma

Habari za kifo cha mama wa Carina zimethibitisha na mmoja wa wanafamilia aliyeongea na Global TV dakika chache zilizopita.

Mama Carina alikuwa anasumbliwa na presha na kisukari na hakuweza hata kushiriki arobaini ya mwanaye wiki iliyopita.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia Global TV.
globaltvonline__2025-06-06T100122.000Z.jpeg
 
Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.

Mama Carina amefariki leo baada ya mwanae kufariki siku arobaini nyuma

Habari za kifo cha mama wa Carina zimethibitisha na mmoja wa wanafamilia aliyeongea na Global TV dakika chache zilizopita.

Mama Carina alikuwa anasumbliwa na presha na kisukari na hakuweza hata kushiriki arobaini ya mwanaye wiki iliyopita.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia Global TV.
View attachment 3358001
Mungu muweza awajalie pumziko la amani,mama na bintiye, Amina
 
Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.

Mama Carina amefariki leo baada ya mwanae kufariki siku arobaini nyuma

Habari za kifo cha mama wa Carina zimethibitisha na mmoja wa wanafamilia aliyeongea na Global TV dakika chache zilizopita.

Mama Carina alikuwa anasumbliwa na presha na kisukari na hakuweza hata kushiriki arobaini ya mwanaye wiki iliyopita.

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia Global TV.
View attachment 3358001
Pole zao. Who is Carina by the way?
 
Back
Top Bottom