Mama mwenye nyumba ananitega sana

Mama mwenye nyumba ananitega sana

Umekuja kupata justification ya kumgegeda mama wa watu. Wewe mgegede tu mkuu maana Kitendo cha wewe kumlelea kinaonyesha ni kiasi gani unataka kumla.

Ungekuwa hutaki kabisa ungempiga mkwara asije kwako na unge mfukuza hiyo jana lakn wewe ukaishia kumpa ahadi.

Msaidie mama na yeye ni binadamu pia,tena bora kapata kijana mtulivu kuliko ange fakamia vijana wahuni mtaani
 
hama nyumba faster asikuletee zile za yule bibi hahahaaaaa looo.... na ukikataa tu unalo lazima visa vianze so jipange either kuhama or kumtifua
 
Ikimbie zinaa inawaka moto,hatari hiyo usiguse,ukifanya hatia itakula sana labda kama dhamiri ndani imekufa,mi hata ndani asingekanyaga😱
 
Uliugua roho? How?
Na kwa nini ujute daima?
Ukishatubu kwa Mungu wako unasahau na kuendelea na maisha..!!

acha tu ndugu nilihisi nimeua vile jins nafs ilivyokuwa inanisuta mpaka saiv hata siko sawa kiakili na nimewachukia wanawake wote nilitegwa nikategeka, ushauri kwa huyo jamaa asifanye kabisa nilazima hali ya kawaida iondoke tu pindi atakapofanya.
 
Umshtaki huyo mama kwenye vyombo vya sheriaaaaa ,ili sheria ichukue mkondo wake sawa
 
tafuta kademu uende nako home
uyo dem ukesho yake ataamka kavimba mwili mzima miguu haisimami, hao wabibi wanakuwaga vigagula mbaya, hata yeye mwenyewe anavyoongea inaonekana ameshawwekewa dawa za kutosha.
 
uyo dem ukesho yake ataamka kavimba mwili mzima miguu haisimami, hao wabibi wanakuwaga vigagula mbaya, hata yeye mwenyewe anavyoongea inaonekana ameshawwekewa dawa za kutosha.

ha ha ha duh kumbe hatari sana hayo maeneo?
 
Angalia sana mkuu using'atwe ulimi kama yule wa arusha..
 
hama nyumba faster asikuletee zile za yule bibi hahahaaaaa looo.... na ukikataa tu unalo lazima visa vianze so jipange either kuhama or kumtifua

aseeeeeee kanikumbusha bibi duh..ivo ivo utani utani akataka akunwe
 
Nilipohamishiwa kanda ya ziwa kikazi toka Dar. nilimtafuta dalali ili anisaidie kunitafutia nyumba, kweli alipata nyumba ya mama mmoja hivi ambaye kiutamaduni ni mtani wangu na yy huwa ananiita mtani.

Sasa kwanza hana mume, mumewe alifariki mwaka jana mwezi wa 4 na ana watoto wakubwa tu wengine wapo vyuoni na mmoja anafanya kazi dar.

Toka mwezi huu uanze ameanza kunionyeshea tabia fulani fulani, kila nikitoka kazini anakuja ndani mwangu anakaa na wakati mwingine kumbe anakuja amefunga kanga tu.

Jana nimetoka kazini nikapita Hotelini kula nikakaa hadi saa 2 usiku nimerudi home aliposikia nafungua mpango tu huyo akaja na chakula nikamwambia nimeshiba nishakula, akanilazimisha kuwa chukua ule, nikapokea nikakiweka mezani then akakaa, akaniambia niwashe TV nikawasha.

Nikaenda kuoga kurudi naingia chumbani na yy huyo kafika akaniambia ngoja nikupake mafuta nikasema hapana sipaki mafuta usiku, aise si akakaa kitandani!! kumbe hakuwa na nguo ya ndani akabenua kanga mapaja hayo nje nje kweli nilipata mfadhaiko muda huo nikamwambia naenda sebuleni kuangalia kipindi fulani hivi cha ITV-KIPIMA JOTO, Akasema njoo kwanza nikarudi akaanza kunishika shika masikioni, nikamwambia nooo!! sipo tyr akauliza kwa nini? nikamwambia leo sijisikii kufanya hicho unachotaka, akaniuliza ina maana mi mbaya? nikasema hapana ila leo sina hamu kabisa ki ukweli nilikuwa na hamu sana ila nikimwangalia huyu mama ni mtu mzima sana ni above 50 na mimi mwenyewe ndo nipo above 27 nikasema hapana.

Akaniambia njoo angalau mara moja tu tux nikampa moyo kuwa subiri kesho yaani leo. Sasa ndugu zangu leo nitamdanganyaje tena?

Huyu mama sitaki kux naye coz ni kama mama yangu, pia, watoto wake japo wapo hostel chuoni kwao hapa hapa nahofia wakija jua kuwa namx mama yao na tunaheshimiana sana.

wazo la kuhama limenijia usiku ws leo sana.

nifanyeje?

huna demu???? kama huna fanya mpango asee lasivo........!!!!!!!""!
 
Nilipohamishiwa kanda ya ziwa kikazi toka Dar. nilimtafuta dalali ili anisaidie kunitafutia nyumba, kweli alipata nyumba ya mama mmoja hivi ambaye kiutamaduni ni mtani wangu na yy huwa ananiita mtani.

Sasa kwanza hana mume, mumewe alifariki mwaka jana mwezi wa 4 na ana watoto wakubwa tu wengine wapo vyuoni na mmoja anafanya kazi dar.

Toka mwezi huu uanze ameanza kunionyeshea tabia fulani fulani, kila nikitoka kazini anakuja ndani mwangu anakaa na wakati mwingine kumbe anakuja amefunga kanga tu.

Jana nimetoka kazini nikapita Hotelini kula nikakaa hadi saa 2 usiku nimerudi home aliposikia nafungua mpango tu huyo akaja na chakula nikamwambia nimeshiba nishakula, akanilazimisha kuwa chukua ule, nikapokea nikakiweka mezani then akakaa, akaniambia niwashe TV nikawasha.

Nikaenda kuoga kurudi naingia chumbani na yy huyo kafika akaniambia ngoja nikupake mafuta nikasema hapana sipaki mafuta usiku, aise si akakaa kitandani!! kumbe hakuwa na nguo ya ndani akabenua kanga mapaja hayo nje nje kweli nilipata mfadhaiko muda huo nikamwambia naenda sebuleni kuangalia kipindi fulani hivi cha ITV-KIPIMA JOTO, Akasema njoo kwanza nikarudi akaanza kunishika shika masikioni, nikamwambia nooo!! sipo tyr akauliza kwa nini? nikamwambia leo sijisikii kufanya hicho unachotaka, akaniuliza ina maana mi mbaya? nikasema hapana ila leo sina hamu kabisa ki ukweli nilikuwa na hamu sana ila nikimwangalia huyu mama ni mtu mzima sana ni above 50 na mimi mwenyewe ndo nipo above 27 nikasema hapana.

Akaniambia njoo angalau mara moja tu tux nikampa moyo kuwa subiri kesho yaani leo. Sasa ndugu zangu leo nitamdanganyaje tena?

Huyu mama sitaki kux naye coz ni kama mama yangu, pia, watoto wake japo wapo hostel chuoni kwao hapa hapa nahofia wakija jua kuwa namx mama yao na tunaheshimiana sana.

wazo la kuhama limenijia usiku ws leo sana.

nifanyeje?
Unajua kilicho muua mumewe? Mpotezee akizingua zaidi HAMA
 
Back
Top Bottom