JfBro
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 587
- 163
Ha ha haaa,
Wenzio hao wa umri wako ndo wanatutolea mimacho huku bongo.
................. sijasema mimi lakini...........
wachaaa wee
Ha ha haaa,
Wenzio hao wa umri wako ndo wanatutolea mimacho huku bongo.
................. sijasema mimi lakini...........
ndiyo mkuu yy ana zaidi ya miaka 50 mimi hata 31 sijafika.
Ha ha haaa,
Wenzio hao wa umri wako ndo wanatutolea mimacho huku bongo.
................. sijasema mimi lakini...........
unatakiwa kuzungumza kwa uthabiti kwamba huhitaji kufanya jambo hilo naye. Na uoneshe seriousness usoni!
Usijali atasema nini.
Kumbuka: ni bora kumtii Mungu kuliko binadamu. Uzinzi ni dhambi nzito brother
ukiwa nae vuta picha ya mama yako mzazi so kila utachofanya nae.assume ndio mama yako mzaz unamfanyia ivo
Kwani tatizo liko wapi hapo? Mwambie mama siwezi kufanya hivyo na wewe sababu wewe ni mtu nnaekuheshimu.