dawa ya huyo mama akija mwambie njoo tusali, kama wewe ni mkristo fungua biblia mpe somo, vivyo hivyo kama ni muislam, hatarudia. ikiwezekana, muombe na mkemee kwa pamoja, hiyo itakuwa mwa40
Mwambie Una Miwaya Atakurudishia mpaka hela ya kodi...
gonga mzigo huu tena utakuwa hulipi kodi kama una wasiwasi nunua kondomu za kutosha bila hivyo atakuwa anakudharau sana
ok. nimelipokea mi ni mkristu.
Aisee hebu hama nyumba hiyo mimi nije kupanga hapo tena nitaku pm unielekeze vizuri.
Na kupapaswa-papaswa masikio na mama mwenye nyumba,Uzembe wako
Huna rules? Unaruhusije mtu chumbani kwako????
Leo akija kuanza kukulazimisha huo upuuzi wake we piga kelele kuwa anakubaka umjazie watuataona aibu yeye mwnyw, hakuna kuhama mkuu we komaa nae tu hadi atakata tamaa mbaf zake huyo
Hiv kwa nini hizo bahati hazitukuti sisi
Mi mwenyewe nakutolea macho, koh koh koh koh!Ha ha haaa,
Wenzio hao wa umri wako ndo wanatutolea mimacho huku bongo.
................. sijasema mimi lakini...........
Siku hizi wakishakuweka kwenye kumi na nane live namna hii halafu ukikataa kwa nguvu eti una msimamo wanakung'ata ulimi na kutema chini naskia. Ohooo shauri yako!Sikiliza nikwambie kijana, huyo mama wewe utakuwa unamuonyesha mazingira ya kukubali ndio maana anajiachia kiivyo. kama wewe ni mkiristo suala hilo haliitaji hata kuomba Mungu, ni wewe kuchukua hatua za kukimbia tu na kumkemea!! unaweza kusoma biblia kitabu cha Mwanzo 39:7-12. usimchekee kabisa. Yusufu alimwambia mwanamke wa Potifa, kwamba Mimi itawezekanaje nimtende Mungu wangu dhambi kubwa nana hii? habari za kumwambia eti hujisikii, hauna ham kwa leo, unajiwekea mtego wa shetani mwenyewe!!!!
Heee kwani kumfanyia mama mwenzetu hivyo;
ungemwambia tu asisahau kutumia ndom.
Sikiliza nikwambie kijana, huyo mama wewe utakuwa unamuonyesha mazingira ya kukubali ndio maana anajiachia kiivyo. kama wewe ni mkiristo suala hilo haliitaji hata kuomba Mungu, ni wewe kuchukua hatua za kukimbia tu na kumkemea!! unaweza kusoma biblia kitabu cha Mwanzo 39:7-12. usimchekee kabisa. Yusufu alimwambia mwanamke wa Potifa, kwamba Mimi itawezekanaje nimtende Mungu wangu dhambi kubwa nana hii? habari za kumwambia eti hujisikii, hauna ham kwa leo, unajiwekea mtego wa shetani mwenyewe!!!!