Mama mwenye nyumba ananitega sana

Mama mwenye nyumba ananitega sana

Dah pole sana mwambie we huwezi kwa sababu ambazo atakuelewa. Asipoelewa mwambie utahama na umaanishe.
 
Tafuta dalali fastaaaa ...
Siyo pa kukaa tena hapo ..,kodi yako uliyotoa fanya kama umeisahau hivi ..!!
 
Tafuta best wako wa kike rudi nae homeee...ila jiandae kwa notice heheheee....
 
Leo akija kuanza kukulazimisha huo upuuzi wake we piga kelele kuwa anakubaka umjazie watuataona aibu yeye mwnyw, hakuna kuhama mkuu we komaa nae tu hadi atakata tamaa mbaf zake huyo
 
Leo akija kuanza kukulazimisha huo upuuzi wake we piga kelele kuwa anakubaka umjazie watuataona aibu yeye mwnyw, hakuna kuhama mkuu we komaa nae tu hadi atakata tamaa mbaf zake huyo

ngoja nilitafakari kwa umakini.
 
Ha ha haaa,
Wenzio hao wa umri wako ndo wanatutolea mimacho huku bongo.
................. sijasema mimi lakini...........[/QUOTE Mamndenyi wewe huna nyumba ya kupangisha
nikutafutie serengeti boy hao wa barabarani waache kukutolea mimacho?
 
Last edited by a moderator:
Jamani mi naona siku za mwisho zimefika,watu ashki zinapanda kuliko homa ya dengue
 
Aisee hebu hama nyumba hiyo mimi nije kupanga hapo tena nitaku pm unielekeze vizuri.
 
Back
Top Bottom