chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Hahahah huyo maza angeisoma namba nakwambia
wengine wanashabikia huenda ni mama yake mtu anashauri aliwe papuchi, heri yao na yetu ambao mama zao hawako Mwanza na ni 70s
Hahahah huyo maza angeisoma namba nakwambia
Yeye umri wake ni "above 50" na wewe ni "above 27"...inawezekana mnalingana umri kwa sababu "above 27" yaweza kuwa 30,40,50 au 55,usimwone mwenzio mzeeNilipohamishiwa kanda ya ziwa kikazi toka Dar. nilimtafuta dalali ili anisaidie kunitafutia nyumba, kweli alipata nyumba ya mama mmoja hivi ambaye kiutamaduni ni mtani wangu na yy huwa ananiita mtani.
Sasa kwanza hana mume, mumewe alifariki mwaka jana mwezi wa 4 na ana watoto wakubwa tu wengine wapo vyuoni na mmoja anafanya kazi dar.
Toka mwezi huu uanze ameanza kunionyeshea tabia fulani fulani, kila nikitoka kazini anakuja ndani mwangu anakaa na wakati mwingine kumbe anakuja amefunga kanga tu.
Jana nimetoka kazini nikapita Hotelini kula nikakaa hadi saa 2 usiku nimerudi home aliposikia nafungua mpango tu huyo akaja na chakula nikamwambia nimeshiba nishakula, akanilazimisha kuwa chukua ule, nikapokea nikakiweka mezani then akakaa, akaniambia niwashe TV nikawasha.
Nikaenda kuoga kurudi naingia chumbani na yy huyo kafika akaniambia ngoja nikupake mafuta nikasema hapana sipaki mafuta usiku, aise si akakaa kitandani!! kumbe hakuwa na nguo ya ndani akabenua kanga mapaja hayo nje nje kweli nilipata mfadhaiko muda huo nikamwambia naenda sebuleni kuangalia kipindi fulani hivi cha ITV-KIPIMA JOTO, Akasema njoo kwanza nikarudi akaanza kunishika shika masikioni, nikamwambia nooo!! sipo tyr akauliza kwa nini? nikamwambia leo sijisikii kufanya hicho unachotaka, akaniuliza ina maana mi mbaya? nikasema hapana ila leo sina hamu kabisa ki ukweli nilikuwa na hamu sana ila nikimwangalia huyu mama ni mtu mzima sana ni above 50 na mimi mwenyewe ndo nipo above 27 nikasema hapana.
Akaniambia njoo angalau mara moja tu tux nikampa moyo kuwa subiri kesho yaani leo. Sasa ndugu zangu leo nitamdanganyaje tena?
Huyu mama sitaki kux naye coz ni kama mama yangu, pia, watoto wake japo wapo hostel chuoni kwao hapa hapa nahofia wakija jua kuwa namx mama yao na tunaheshimiana sana.
wazo la kuhama limenijia usiku ws leo sana.
nifanyeje?
Hahahaha...comrade umenichekesha vibaya!! Mtu anashabikia jamaa ale papuchi kumbe anashauri mamake apigwe pipe..! Kweli ukifikiri unaona mantiki ya hoja yako.wengine wanashabikia huenda ni mama yake mtu anashauri aliwe papuchi, heri yao na yetu ambao mama zao hawako Mwanza na ni 70s
Exactly..!Yeye umri wake ni "above 50" na wewe ni "above 27"...inawezekana mnalingana umri kwa sababu "above 27" yaweza kuwa 30,40,50 au 55,usimwone mwenzio mzee
Nilipohamishiwa kanda ya ziwa kikazi toka Dar. nilimtafuta dalali ili anisaidie kunitafutia nyumba, kweli alipata nyumba ya mama mmoja hivi ambaye kiutamaduni ni mtani wangu na yy huwa ananiita mtani.
Sasa kwanza hana mume, mumewe alifariki mwaka jana mwezi wa 4 na ana watoto wakubwa tu wengine wapo vyuoni na mmoja anafanya kazi dar.
Toka mwezi huu uanze ameanza kunionyeshea tabia fulani fulani, kila nikitoka kazini anakuja ndani mwangu anakaa na wakati mwingine kumbe anakuja amefunga kanga tu.
Jana nimetoka kazini nikapita Hotelini kula nikakaa hadi saa 2 usiku nimerudi home aliposikia nafungua mpango tu huyo akaja na chakula nikamwambia nimeshiba nishakula, akanilazimisha kuwa chukua ule, nikapokea nikakiweka mezani then akakaa, akaniambia niwashe TV nikawasha.
Nikaenda kuoga kurudi naingia chumbani na yy huyo kafika akaniambia ngoja nikupake mafuta nikasema hapana sipaki mafuta usiku, aise si akakaa kitandani!! kumbe hakuwa na nguo ya ndani akabenua kanga mapaja hayo nje nje kweli nilipata mfadhaiko muda huo nikamwambia naenda sebuleni kuangalia kipindi fulani hivi cha ITV-KIPIMA JOTO, Akasema njoo kwanza nikarudi akaanza kunishika shika masikioni, nikamwambia nooo!! sipo tyr akauliza kwa nini? nikamwambia leo sijisikii kufanya hicho unachotaka, akaniuliza ina maana mi mbaya? nikasema hapana ila leo sina hamu kabisa ki ukweli nilikuwa na hamu sana ila nikimwangalia huyu mama ni mtu mzima sana ni above 50 na mimi mwenyewe ndo nipo above 27 nikasema hapana.
Akaniambia njoo angalau mara moja tu tux nikampa moyo kuwa subiri kesho yaani leo. Sasa ndugu zangu leo nitamdanganyaje tena?
Huyu mama sitaki kux naye coz ni kama mama yangu, pia, watoto wake japo wapo hostel chuoni kwao hapa hapa nahofia wakija jua kuwa namx mama yao na tunaheshimiana sana.
wazo la kuhama limenijia usiku ws leo sana.
nifanyeje?
Ha ha haaa,
Wenzio hao wa umri wako ndo wanatutolea mimacho huku bongo.
................. sijasema mimi lakini...........
Mkuu siyo kwamba nashindwa kumla tatizo ni namna nitakavyoonekana kwa watoto wake na umri wake mkuu. kumbuka watu kama hawa ukijirahisi tu ndo inakuwa kamchezo ka kila cku.
Hama hama hama hama hama hama hama hama hama haraaaaaka sana.
Kim nana hebu pitia hii akijibu leo imekuaje uniamsheNilipohamishiwa kanda ya ziwa kikazi toka Dar. nilimtafuta dalali ili anisaidie kunitafutia nyumba, kweli alipata nyumba ya mama mmoja hivi ambaye kiutamaduni ni mtani wangu na yy huwa ananiita mtani.
Sasa kwanza hana mume, mumewe alifariki mwaka jana mwezi wa 4 na ana watoto wakubwa tu wengine wapo vyuoni na mmoja anafanya kazi dar.
Toka mwezi huu uanze ameanza kunionyeshea tabia fulani fulani, kila nikitoka kazini anakuja ndani mwangu anakaa na wakati mwingine kumbe anakuja amefunga kanga tu.
Jana nimetoka kazini nikapita Hotelini kula nikakaa hadi saa 2 usiku nimerudi home aliposikia nafungua mpango tu huyo akaja na chakula nikamwambia nimeshiba nishakula, akanilazimisha kuwa chukua ule, nikapokea nikakiweka mezani then akakaa, akaniambia niwashe TV nikawasha.
Nikaenda kuoga kurudi naingia chumbani na yy huyo kafika akaniambia ngoja nikupake mafuta nikasema hapana sipaki mafuta usiku, aise si akakaa kitandani!! kumbe hakuwa na nguo ya ndani akabenua kanga mapaja hayo nje nje kweli nilipata mfadhaiko muda huo nikamwambia naenda sebuleni kuangalia kipindi fulani hivi cha ITV-KIPIMA JOTO, Akasema njoo kwanza nikarudi akaanza kunishika shika masikioni, nikamwambia nooo!! sipo tyr akauliza kwa nini? nikamwambia leo sijisikii kufanya hicho unachotaka, akaniuliza ina maana mi mbaya? nikasema hapana ila leo sina hamu kabisa ki ukweli nilikuwa na hamu sana ila nikimwangalia huyu mama ni mtu mzima sana ni above 50 na mimi mwenyewe ndo nipo above 27 nikasema hapana.
Akaniambia njoo angalau mara moja tu tux nikampa moyo kuwa subiri kesho yaani leo. Sasa ndugu zangu leo nitamdanganyaje tena?
Huyu mama sitaki kux naye coz ni kama mama yangu, pia, watoto wake japo wapo hostel chuoni kwao hapa hapa nahofia wakija jua kuwa namx mama yao na tunaheshimiana sana.
wazo la kuhama limenijia usiku ws leo sana.
nifanyeje?
View attachment 194684
Mwanamke aliyekuwa mgonjwa wa ukimwi wa Kikambodia ambaye tokana na hali ngumu ya maisha aliamua kujihusisha na ukahaba akiwa katika siku zake za mwisho wa uhai huku watoto wake wakiwa na huzuni wakimwona mama yao aliye tegemeo la maisha nakata roho.
View attachment 194685
Mgonjwa wa ukimwi afya yake ikionyesha kudhoofika kusiko kawaida na hivyo kusubiria siku siku uhai wake utakapotoweka, unakufa huku unajiona ukihesabu siku zilizosalia.
View attachment 194686
Mgonjwa wa ukimwi aliyejitambua na kuamua kujitangaza kuhamasisha watu waepukane na njia zinazoeneza ugonjwa huo.
Niseme mwanamke ni mjuzi wa kumsoma mwanaume na akionyesha dalili za kuwa ni laini kama kiini cha yai basi mwanamke huanza manjonjo ya mitego. Vinginevyo mwanaume akisomeka hana mpango wala kuonyesha dalili ya kuwa tete mwanamke kawaida hunywea. Kijana ukweli umeonyesha dalili za kumhusudu au kufurahia akifanyacho sasa kazi kwako amekuweka kikaangoni tayari kupakuliwa, kile kilichomwua mume wake usipokiogopa utashtukia unahesabu tu siku za kuishi duniani wakati ungali kijana mbichi.
Mwanamke kuonyesha dalili za kuvutiwa na mwanaume ni jambo la kawaida na kibinadamu, lakini mwanamke mwenye akili nzuri asiye na jambo la kipekee akiona mwanaume haonyeshi dalili huishia kutuliza mzuka. Lakini ukiona anakazania kwa kiwango kama ulichosema uwe na mengi ya kujiuliza na zaidi historia ya kifo cha mume wake jaribu kufanyia utafiti usije kuwa victim.
Hahahaha...comrade umenichekesha vibaya!! Mtu anashabikia jamaa ale papuchi kumbe anashauri mamake apigwe pipe..! Kweli ukifikiri unaona mantiki ya hoja yako.
Kwa walio na single mothers in their 50's wasishauri hapa..lol
Weeeeee nani kakwambia ww binti ni mgeni wa mapenzi, kwa taarifa yako akimpa "kamoja tu" basi kodi kwisha na yeye ndiye atakuwa anadai kodi kwa wapangaji wenzake. Cheza na baba mwenye Nyumba nini