Duh,dishi limekaa sawa siku hiziKama ni wawekezaji na awepe tu.
Kwanini tuwaamini wazungu tu.
Waarabu wakija watadhamini hadi timu zetu za mpira wa miguu.
Shida iko wapi kwani ?
Nchi inapewa Waarabu,,wazawa wanafanywa watumwa...uzalendo wa taifa ili uko wap??Pamoja na makampuni yote ya magari mwendokasi eti wanapewa waarabu. Faida inaenda kwa mwekezaji nje wakati kampuni kibao za mabasi bongo🤦🏾♂️🤦🏾♂️. Mama tumekukosea nini? Unaua demokrasia, unateka vijana wetu, unaiba kura, bandari ya dar bila tendef waarabu wa Dubai, carbon credit dogo Abdul na waarabu, uwanja wa kia kumbe fukuza fukuza yote ni kwasababu ya kuwapa wa Oman, bandari ya bagamoyo kisirisiri wanatapesa Saudi….. sasa ukiondoka tutakuwa na makesi ya kuvunja mikataba kila siku. Reli wamapewa china bila tender
Yaani Mama huyu hata huruma hana tumetumia $1B kuagiza chuma Tsh 500B kuagiza ngano🤦🏾♂️ vijana hawana kazi kwasababu ya haya .. wamekuwa machawa. Yaani 10% Mama kwenye kila kitu. Angalia tamaa zako zitakuponza Mungu hajakiweka hapo ufanye haya
Nchi inapewa Waarabu,,wazawa wanafanywa watumwa...uzalendo wa ta
Kwani liliwahi kuyumba ?Duh,dishi limekaa sawa siku hizi
Hahahaha 🤣🤣😂Kwani liliwahi kuyumba ?
Lini ?
Mimi sina chuki na mtu au watu kabisa.
Nawapenda watu wote bila kubagua jinsia zao au tamaduni zao.
Na sjawahi kumtukana mtu binasfi kati ya nilio ongea nao.
Kuwapa vyote hivyo sio shida tatizo linakuja je hiyo mikataba waliyoingia inatunufaisha na ss? Plz weken wazi hiyo mikataba tuone kama kuna kitu kitabak bongo !Pamoja na makampuni yote ya magari mwendokasi eti wanapewa waarabu. Faida inaenda kwa mwekezaji nje wakati kampuni kibao za mabasi bongo🤦🏾♂️🤦🏾♂️. Mama tumekukosea nini? Unaua demokrasia, unateka vijana wetu, unaiba kura, bandari ya dar bila tendef waarabu wa Dubai, carbon credit dogo Abdul na waarabu, uwanja wa kia kumbe fukuza fukuza yote ni kwasababu ya kuwapa wa Oman, bandari ya bagamoyo kisirisiri wanatapesa Saudi….. sasa ukiondoka tutakuwa na makesi ya kuvunja mikataba kila siku. Reli wamapewa china bila tender
Yaani Mama huyu hata huruma hana tumetumia $1B kuagiza chuma Tsh 500B kuagiza ngano🤦🏾♂️ vijana hawana kazi kwasababu ya haya .. wamekuwa machawa. Yaani 10% Mama kwenye kila kitu. Angalia tamaa zako zitakuponza Mungu hajakiweka hapo ufanye haya
Usichukulie siriaz kwenye malumbano ya Dini.Hahahaha 🤣🤣😂
Spika wa zamani kabla ya kujiudhuri alisemaje😂😂😂🌹Pamoja na makampuni yote ya magari mwendokasi eti wanapewa waarabu. Faida inaenda kwa mwekezaji nje wakati kampuni kibao za mabasi bongo🤦🏾♂️🤦🏾♂️. Mama tumekukosea nini? Unaua demokrasia, unateka vijana wetu, unaiba kura, bandari ya dar bila tendef waarabu wa Dubai, carbon credit dogo Abdul na waarabu, uwanja wa kia kumbe fukuza fukuza yote ni kwasababu ya kuwapa wa Oman, bandari ya bagamoyo kisirisiri wanatapesa Saudi….. sasa ukiondoka tutakuwa na makesi ya kuvunja mikataba kila siku. Reli wamapewa china bila tender
Yaani Mama huyu hata huruma hana tumetumia $1B kuagiza chuma Tsh 500B kuagiza ngano🤦🏾♂️ vijana hawana kazi kwasababu ya haya .. wamekuwa machawa. Yaani 10% Mama kwenye kila kitu. Angalia tamaa zako zitakuponza Mungu hajakiweka hapo ufanye haya
Bunge lilipaswa kuiangalia mikataba yote na kuijadili kwa uwazi maana hao ndio wawakilishi wetu.K
Kuwapa vyote hivyo sio shida tatizo linakuja je hiyo mikataba waliyoingia inatunufaisha na ss? Plz weken wazi hiyo mikataba tuone kama kuna kitu kitabak bongo !
Na yeye akistaafu tayr ana kasri lake Arabuni anaenda kujilia mafwedhaPamoja na makampuni yote ya magari mwendokasi eti wanapewa waarabu. Faida inaenda kwa mwekezaji nje wakati kampuni kibao za mabasi bongo🤦🏾♂️🤦🏾♂️. Mama tumekukosea nini? Unaua demokrasia, unateka vijana wetu, unaiba kura, bandari ya dar bila tendef waarabu wa Dubai, carbon credit dogo Abdul na waarabu, uwanja wa kia kumbe fukuza fukuza yote ni kwasababu ya kuwapa wa Oman, bandari ya bagamoyo kisirisiri wanatapesa Saudi….. sasa ukiondoka tutakuwa na makesi ya kuvunja mikataba kila siku. Reli wamapewa china bila tender
Yaani Mama huyu hata huruma hana tumetumia $1B kuagiza chuma Tsh 500B kuagiza ngano🤦🏾♂️ vijana hawana kazi kwasababu ya haya .. wamekuwa machawa. Yaani 10% Mama kwenye kila kitu. Angalia tamaa zako zitakuponza Mungu hajakiweka hapo ufanye haya