Unajua kuna njia hata ya kuwapa makampuni ya kitaalamu kukuwekea uongozi, ushauri NK , Kwa hiyo sio lazima kuwa na ubia , alliance air, ilikuwaje, mkataba wa ATC na SAA. Uliishia wapi.Ndio maana ubia ndio solution madaraka hayo hayatakuwepo, pale NMB kuna ubia lakini serikali haiteui Director na sector binafsi wanateuwa na huo ni mfano mmoja tu.
Jingine ambalo ni la muhimu ni viongozi wa kisiasa kiachabkuingiza siasa kwenye vitu vya kitaaluma au kitaalamu
Kwa sababu hata kwenye unis ukiweka usiasa maana yake uthaminishaji wa huo ubia utakuwa wa wizi wizi tu.