Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Sasa mm nilishawah kupata demu wa kinyalu. .nilimuacha kwa sababu kipindi chote cha mahusiano yetu..kwanza hujawah kunikosea, Kila kitu utakacho mweleza yy anakubali hata kama ni cha kumuumiza na kumkandamiza, hajawah kunionesha wivu hata nikiwa nimesimama na mwanamke ktk mkao wa kutilia shaka, nilishawah mtengenezea kisa nikampa kichapo cha kushangaza aliniomba msamaha yy na kila wakati ananiuliza kama nimemsamehe kweli..ukimuita wakati wowote anakuja bila kubisha. .hana tofauti na usafir wa [HASHTAG]#uber[/HASHTAG] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka mzigo ndio balaa..muda wowote hata akiwa period anaogopa kakwambia akihofia utakasirika. .mmmh nilipoona hvy nikahisi mwenzangu atakuwa hana moyo bali anapumulia maini. .nikamuacha lakini bado ananiomba msamaha kama kuna kosa alinifanyia kipindi cha mahusiano yety

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] huna hata shukrani yaani huyo ana mapenzi mpk shetani anaogopa

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Sasa mm nilishawah kupata demu wa kinyalu. .nilimuacha kwa sababu kipindi chote cha mahusiano yetu..kwanza hujawah kunikosea, Kila kitu utakacho mweleza yy anakubali hata kama ni cha kumuumiza na kumkandamiza, hajawah kunionesha wivu hata nikiwa nimesimama na mwanamke ktk mkao wa kutilia shaka, nilishawah mtengenezea kisa nikampa kichapo cha kushangaza aliniomba msamaha yy na kila wakati ananiuliza kama nimemsamehe kweli..ukimuita wakati wowote anakuja bila kubisha. .hana tofauti na usafir wa [HASHTAG]#uber[/HASHTAG] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka mzigo ndio balaa..muda wowote hata akiwa period anaogopa kakwambia akihofia utakasirika. .mmmh nilipoona hvy nikahisi mwenzangu atakuwa hana moyo bali anapumulia maini. .nikamuacha lakini bado ananiomba msamaha kama kuna kosa alinifanyia kipindi cha mahusiano yety

Sent using Jamii Forums mobile app


Ulimkosea sana dada yetu.
 
Ladies & gents Salaam,

Nimeoa mwaka wa pili sasa. Changamoto za ugonjwa zimepelekea tukae na mama mkwe nyumbani tumuuguze. Yapata miezi miwili sasa anatazamia afya yake hapa kwetu. Age yake haizidi 50 and I'm early 30s.

Issues:
1. Ananiheshimu imefikia hatua ananiita baba kwa adabu mpaka naogopa.
2. Hawezi kukaa na mimi hata kupiga stori zaidi ya salaam tu. Yaani hata namkuta anaagalia tv nikiingia tuu kutoka job anaingia chumbani mda huo huo.
3. Ikibidi tupishane koridoni huwa anageuza njia kabisa.
4. She keeps telling her daughter chakula lazima nianze kupewa mimi kwanza tena kile kizuri na kingi.
5. Huwa haniangalii usoni kabisa (japo hii inaweza isiwe adabu).
6. Ole mke wangu aniache sebuleni peke yangu lazima amtimue aje aongee na baba.
Kwakweli yako mengi huyu mama anayafanya mpaka nimuone ana adabu iliyopitiliza.
Imefikia kipindi imebidi nibadili lifestyle. No more loud music no more think pombe at home. Halafu sasa mimi ni muongeaji kishenzi so nilixpect mama mkwe akija hadi idadi ya wa kupiganao story itaongezeka.

Japo mi mama bora ila mwenzenu ananikwaza kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa wa ajabu kweli.. anakukwaza na nn sasa.... angekuwa hakueshimu ungekuja lalamika tena apa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na hayo usijeshangaa hapo badae ukaja ambiwa ni mchawi [emoji41][emoji41][emoji41] unyenyekevu wa mwilini siyo lazima uwe na Moyoni/rohoni!
 
Watu ambao ni wacheshi sana Au wakimya sana na kujifanya kuwa wema na adabu ogopa sana! Hata Majambazi huwa ni wakimya kupita kiasi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom