Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Mama mkwe wangu ana adabu kupitiliza

Lakini hii ni kawaida chakula cha baba kunapakuliwa kwanza hata kama hayupo kinfunkikwa na cling film na kuweka kwenye microwave. Kama menu ni kuku baba anawekewa mapaja

Nilikataa huu mtindo, mimi watoto wale hivyo vilivyonona, sababu nimeshakula sana na nikiwa bar nnakula. Nikiwa na mtt wangu yeye ale kwanza achague ashibe akiridhika na mimi ndio nnakula
 
Lakini hii ni kawaida chakula cha baba kunapakuliwa kwanza hata kama hayupo kinfunkikwa na cling film na kuweka kwenye microwave. Kama menu ni kuku baba anawekewa mapaja
Unanifanya niwaze kukuoa wewe! [emoji76] [emoji76] [emoji76]

Sent by Ubavu
 
Mshukuru sana mwenyezi mungu kwakukupa mkwe wa aina hiyo,marehemu mama alikua na tabia hiyo na nilikua nakereka kwanini mama wakati wa kula chakula hutaki tule sote anasema no huyu ni mkwe wangu sio vizuri kukaa nae,wakati nikienda kwa wazazi wa mume wangu tuna kula sote chakula tuna piga story na mkwe wangu tuna ongea sanaaa..
 
We jamaa umepata bonge la mkwe.....ni wachache tulio na bahati hiyo...shukuru mungu..Kuna wakwe huwa wanakuja kwako wanakaa hadi unahisi umewaoa wote wawili na kibaya zaidi anakuja kupata ka ben10 hapo hapo mtaani. Ma mkwe unakuta anakata gambe ka pampula.....Brother ishi na Mkeo Vizuri sisi tunaitaga Ngekewa hiyo.
 
Huyo mwanaume kiboko sio watu wakusini hao maana wale kama ni rafiki yako akipiga hodi sauti itokako ndiyo anaifuata kama ni chumbani anakuja, kuna kaka walikuwa na mkewe sijui wanafanya nini [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hodi hiyo kapita sebuleni mpaka kwa chumba ikabidi mkaka akimbilie taulo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo dizaini hizo. Ni mwendo wa mtu na mkwewe kupishana koridoni na mataulo...
 
We jamaa umepata bonge la mkwe.....ni wachache tulio na bahati hiyo...shukuru mungu..Kuna wakwe huwa wanakuja kwako wanakaa hadi unahisi umewaoa wote wawili na kibaya zaidi anakuja kupata ka ben10 hapo hapo mtaani. Ma mkwe unakuta anakata gambe ka pampula.....Brother ishi na Mkeo Vizuri sisi tunaitaga Ngekewa hiyo.
hahaaa haaa ka benten!! Yaaani kaserenget boy sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom