Dibo10
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,331
- 1,635
we acha tu mkuu,huo uzi upo hapa,sema siukumbuki vizuriHee kujamb...tena makubwa hayo mama yangu kamwe hawezi kaa sitting room na mr wangu kamwe haiwezi tokea
Sent using Jamii Forums mobile app
we acha tu mkuu,huo uzi upo hapa,sema siukumbuki vizuriHee kujamb...tena makubwa hayo mama yangu kamwe hawezi kaa sitting room na mr wangu kamwe haiwezi tokea
Sent using Jamii Forums mobile app
kimbilia tuu utaijua ukiipata mkuuBahati IPI mkuu nianze kuikimbilia
Na nikiipata nitaigawa nikupe nusu yake si unajua tena kizuri unakula na ndugu yakokimbilia tuu utaijua ukiipata mkuu
una mgegeda vizuri tuu shenzSafi sana usiombe ukutane na wale wa uswazi, unapishana nae kafunga kanga kifuani anenda choo na kopo mkononi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Itakuwa una hela..
Kama hauna hela halafu ukutane na mkwe wa kichaga ungeomba poo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mamamkwe wangu wa kipare yuko very social yaani ni kunipigisha story tu, ila ana hela zake. Anapenda sana binti yake anianglaie asinikosee adabu
Lakini hii ni kawaida chakula cha baba kunapakuliwa kwanza hata kama hayupo kinfunkikwa na cling film na kuweka kwenye microwave. Kama menu ni kuku baba anawekewa mapaja
haswaaaaa kabisaNa nikiipata nitaigawa nikupe nusu yake si unajua tena kizuri unakula na ndugu yako
Mh!Itakuwa una hela..
Kama hauna hela halafu ukutane na mkwe wa kichaga ungeomba poo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh!Itakuwa una hela..
Kama hauna hela halafu ukutane na mkwe wa kichaga ungeomba poo..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Itakuwa una hela..
Kama hauna hela halafu ukutane na mkwe wa kichaga ungeomba poo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv kumbe waluguru nao wana utamaduni huo...mi nilifikiri wao ni kama kanda ya pwani..mana wale wakwe wa pwani sio mchezo..mtanisamehe wenyeji wa huko...mluguru wa moro mkuu
Mkuu wewe hatari Sana.... Hzo timing nlkuwa nazo pia... Basi bimkubwa anakuwa kanuna kweli.. huku dingi anajitia roho Safi... Hehehehe... Nadhani na mm ntakuwa hivyoNa katika hili la menu baba kuwekewa paja na nyama nyingi, wakati nipo mdogo nilikuwa nafanya timing ya kufa mtu. Siku za nyama nilikuwa silali mpaka mdingi arudi, na akirudi tuu lazima mezani tukae wote. Kinachofuata hapo ni 80% ya nyama nitakula mimi. Hahahaah, utoto raha sana.
Mbiziyaza.... Fisimweusi ama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hyo ndio adabu ya kiafrica!hata mm bibi yangu alikua hakai sbulen na baba akiwpo!hasa hsa wasukuma ndo wana mila za namna hyo!mie nawaza tu nikizeeka nitaishije kwa 'sanji'wangu!teh teh!maana nitakuwa bibi wa kisasa i thnk!lol!safi sana huyo bibi!