Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
usichezee dini ulokuzwa nayo
unless hukuielewa au hukuwa mfuasi wa kweli.
Huwezi nielewa, unless you have been there. Whether ndoa inadumu milele au inavunjika.
Nadhani, unajua kila ndoa hupitia rough times
katika kipindi hicho, ni ngumu unapokuwa ulibadili dini
unajiona ba.za.zi tu.
unless hukuielewa au hukuwa mfuasi wa kweli.
Huwezi nielewa, unless you have been there. Whether ndoa inadumu milele au inavunjika.
Nadhani, unajua kila ndoa hupitia rough times
katika kipindi hicho, ni ngumu unapokuwa ulibadili dini
unajiona ba.za.zi tu.
Ujue kuingia kwenye ndoa ni kama principle moja ya biashara inaitwa business entity kwamba unaashum biashara itadum milele japo nyingine siyo, so na ndoa unatakiwa uamue hivyo hivyo kuwa utadumu nayo milele