Zheneba
Member
- Aug 5, 2011
- 75
- 9
Jaman mimi nampenz wangu tunapendana sana tunazaidi ya mwaka na tumepanga kuoana lakin tatizo ni mamamkwe aliona sms zangu kwa mwanae sasa ni mlokole hanitak mimi ni muislamu lakn niko tayar kubadili dini anaomba na kusali tuachane kupitia wafanyakazi wenzake kaona picha zangu za fb.