Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Wanajamii, nawaombeni kwa heshima na taadhima:
Humu JF kuna watu wa kada tofauti tofauti, na watu wa age tofautitofauti.
Nimekuwa nikichat na watu humu JF na kama mjuavyo tena humu hatufahamiani au kama ni kufahamiana ni kwa uchache sana. Mmoja kati ya watu ninaochat nao kila siku ni mama mkwe wangu. siri hii kanipa mke wangu kwani anaijua avatar ya mama yake anayoitumia, tena si avatar tu bali na password yake.
Siku moja nikapost kitu cha kumtania (mama mkwe ni mcheshi sana) akaniuliza kwani wewe una umri gani na kwanini unitanie? Akasema mimi ni mama yako ila napenda sana JF, inaburudisha na watu wana mawazo mengi tofauti na ukikaa ndani ya box bila kuelewa mambo.
Ki ukweli hakujua kama anayechat naye ni mkwe wake, ila ni mama mzuri sana.
Ushauri wangu kwa wana JF wenzangu: Unaweza kuchat na mtu au ukamtukana matusi ya nguoni kumbe ni baba yako, mama yako, au hata mke wako bila kujua. Na ndio maana kuna mwana JF mmoja alianzisha thread ihusuyo kufahamiana nani kaoa, nani bado, nani kapigwa ban na mwenzake nk, mimi nilijibu hivi: Thanda- I am the luckiest man on earth with happy marriage. Wife alipoiona hii akaamua kunitobolea siri kuwa huwa nachat na my inlaw.
Tuwe makini sana humu wapendwa!!
Humu JF kuna watu wa kada tofauti tofauti, na watu wa age tofautitofauti.
Nimekuwa nikichat na watu humu JF na kama mjuavyo tena humu hatufahamiani au kama ni kufahamiana ni kwa uchache sana. Mmoja kati ya watu ninaochat nao kila siku ni mama mkwe wangu. siri hii kanipa mke wangu kwani anaijua avatar ya mama yake anayoitumia, tena si avatar tu bali na password yake.
Siku moja nikapost kitu cha kumtania (mama mkwe ni mcheshi sana) akaniuliza kwani wewe una umri gani na kwanini unitanie? Akasema mimi ni mama yako ila napenda sana JF, inaburudisha na watu wana mawazo mengi tofauti na ukikaa ndani ya box bila kuelewa mambo.
Ki ukweli hakujua kama anayechat naye ni mkwe wake, ila ni mama mzuri sana.
Ushauri wangu kwa wana JF wenzangu: Unaweza kuchat na mtu au ukamtukana matusi ya nguoni kumbe ni baba yako, mama yako, au hata mke wako bila kujua. Na ndio maana kuna mwana JF mmoja alianzisha thread ihusuyo kufahamiana nani kaoa, nani bado, nani kapigwa ban na mwenzake nk, mimi nilijibu hivi: Thanda- I am the luckiest man on earth with happy marriage. Wife alipoiona hii akaamua kunitobolea siri kuwa huwa nachat na my inlaw.
Tuwe makini sana humu wapendwa!!