Mama mkwe amekuja na mwongozo mkali

Mama mkwe amekuja na mwongozo mkali

Huyu jamaa ana ID kama mia hivi
Una Ushahidi Wowote? Tangu Utoke TMA Pale Monduli Siku Hizi Umekuwa Unapayuka Sana Au Hizo Nyota Mbili Ulizozipata Ndio Zinakutia Kiburi Ndugu Yangu?
 
mbona simpo sana

mfanye ma mkwe mchepuko
 
Hivi Juzi Juzi Mama Mkwe Wangu Alikuja Kunitembelea Hapa Kwangu Akitokea Huko Mbwinde. Nilifurahi Sana Kwa Kuwa Ni Muda Sana Umepita Hatujaonana.

Mama Mkwe Hakupoteza Muda Akanipa " Mwongozo " Mzito Na Uliotukuka Kuwa " Nisimzalishe " Tena Mwanae Kwani Watoto Wawili Tuliozaa Mpaka Sasa Wanatosha Na Ni Marufuku Kumzalisha Tena Mwanae Ambaye Ni Mke Wangu Kipenzi Wa Ndoa Na Akafika Mbali Zaidi Baada Ya Kusema Ole Wangu Nikiuke Mwongozo Wake. Hakika Ilikuwa Ni Surprise Ya Nguvu Kwangu Na Ambayo Sijaitegemea Ingawa Hajanieleza Sababu Za Kunizuia Kutafuta Mtoto Wa Tatu. Mama Mkwe Anataka Kucontrol Ndoa Yangu Kwa " RIMOTI " akiwa Mbwinde.

Wakuu Naombeni Msaada Wenu, Maana Mpaka Mama Mkwe Anakuja Mke Wangu Hakunishirikisha Chochote ( Kama Kweli Alikuwa Na Tatizo ) Yeye Akaamua Kumtumia Mama Yake, Sasa Nimekosa Imani Na Mke Wangu Na Nafikiria Kumuacha Ili Aweze Kuongozana Na Mama Yake Pindi Atakaporudi Mbwinde Maana Anaweza Hata Akaniua Kwa Mwendo Huu. Nifanyeje Wakuu Maana Alichofanya Mama Mkwe Mpaka sasa Anaongoza 3-0 Dhidi Yangu Yaani kwa Lugha Nyingine Amenikamata Pabaya Mno Kunakotukuka!!
Nenda kamuombe ushauri mkeo or baba mkwe wako
 
Una Ushahidi Wowote? Tangu Utoke TMA Pale Monduli Siku Hizi Umekuwa Unapayuka Sana Au Hizo Nyota Mbili Ulizozipata Ndio Zinakutia Kiburi Ndugu Yangu?
Ngoja nimwite rafiki yako kwa uthibitisho..
UncleBen Huyu siyo yule rafiki yako POPOMA kweli?
 
Kaa vizuri na mke wako mpange mambo yenu ya ndoa bila kuingiliwa na mtu, au huna ushawishi wa kutosha kumuweka mke wako sawa, tunaweza mlaumu huyo mama kumbe na wewe unamatatizo.
 
Kwanza unaendesha je ndoa yako? Kwa mfumo dume, mfumo jike au kwa kushirikiana? Ukinijibu ntakupatia solution
 
Hivi kumbe miss chaga una busara kiasi hicho, kweli tusiwajaji wanawake kupitia wanayosema mitandaoni
 
Siko karibu na wewe wala sikufaham ila hilo ndo litaonyesha wewe ni mwanaume
 
Daah dunia inamambo aisee, kila mtu ana matatizo yake hilo swala litafakari kwa makini tena shirikisha wazee wa kubwa wenye busara walio successful kwenye mambo ya kifamilia kwangu hili naona liko above my knowhow!
 
Hahah, inawezekana mkuu, kuna uzi humu anaomba ushauri kuna kadenti alikuwa anakapa lift ya kuelekea shule kila asubuhi, sasa kale kadenti kakawa kanataka kumlipa jamaa fadhila mshkaji akawa anakakwepa, sasa akawa anaomba ushauri..

Kwa case ya kitoto vile wala sishangai yeye kupewa maelekezo na mama mkwe wake[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acheni mambo ya kis**ge nyie, kwanza nilishasemaga tangu zamani mi cna gari na wala huwa cpendi huo upuuzi wa kujisifu kwa vitu ambavyo sina
 
Chama tawala ndivyo walivyo. Napiga picha ya mama mkwe wako ni wale wa sisiemu waliojichubua hadi ngozi zimekuwa na mabakabaka
 
Back
Top Bottom