Mama mkwe amekataa kuwapokea washenga wangu

Mama mkwe amekataa kuwapokea washenga wangu

Wewe mtie tu mimba huyo binti, kwao watakuja kujitambulisha kwako wenyewe.
 
Kuna watu ni wajinga, wewe ni mmoja wapo. Sasa bapo kinachokuumiza kichwa ni nn?? Hujui kutongoza? Wewe hapo unachotakiwa kufanya ni kupotezea tu, wsla usijishughulishe na chochote, watakutafutaga wenyewe. Au unamtegema sana huyo demu alafu kakupa masharti ya kumuoa???
Me nadhani atume kwanza washenga, wakienda kupigwa beat ndiyo afuate ushauri wako huo.

Maana yake nini, kwenye process za ndoa kuna tu vikwazo vya kijingajinga sana.

Hapo unawezakuta ni maneno tu ya mashambenga na mashakubimbi!
 
Jilipue nenda tu kukamilisha ushahidi ikishindikana kabisa mwachie bintiye kisha pitia Singida wakati unarudi chukua watoto wawili wa Kinyaturu utakuja kunishukuru baadaye. They are so delicious!
 
Back
Top Bottom