Dj Composer
Member
- Apr 3, 2019
- 24
- 43
Naombeni kushauriwa hapa kidogo, nilipata Binti tukaingia makubaliano ya kuoana, tukapanga mshenga wa kwenda kwao ila akapata dharura kidogo tukaahirisha. Tukaomba kwenda Jumatano ya week kesho kupeleka barua Kagera maana mama Mkwe wangu anatokea Bukoba.
Amesema kwa kumwambia binti yake kwamba hataki kuona mshenga yeyote kwake, kisa walishindwa kufika siku ya kwanza ilihali wameshajiandaa kwenda kwake Jumatano kupeleka barua.
Washenga sijawaeleza chochote kuwa Mkwe kasema hataki kuona mgeni yeyote pale. Washenga wanajua shughuli ipo kama kawaida.
Najiuliza nifanye nini asee?
Amesema kwa kumwambia binti yake kwamba hataki kuona mshenga yeyote kwake, kisa walishindwa kufika siku ya kwanza ilihali wameshajiandaa kwenda kwake Jumatano kupeleka barua.
Washenga sijawaeleza chochote kuwa Mkwe kasema hataki kuona mgeni yeyote pale. Washenga wanajua shughuli ipo kama kawaida.
Najiuliza nifanye nini asee?