Mama mkwe amekataa kuwapokea washenga wangu

Mama mkwe amekataa kuwapokea washenga wangu

Kwanza.. mulimutarifu muda gani kabla.. kuwa mushenga haendi tena..

Pili.. kwanini hujamuliza mchumba.. akakuwambia ilikuwaje na aibu uliyowapa..

Tatu.. kwani wewe hapana kufahamu.. mushenga akienda mahala.. anaweza kuwa wenyeji walijiandaa na kuita watu wa karibu.. washuhudie..
 
Kwanza.. mulimutarifu muda gani kabla.. kuwa mushenga haendi tena..

Pili.. kwanini hujamuliza mchumba.. akakuwambia ilikuwaje na aibu uliyowapa..

Tatu.. kwani wewe hapana kufahamu.. mushenga akienda mahala.. anaweza kuwa wenyeji walijiandaa na kuita watu wa karibu.. washuhudie..
Kuna kozi ya Kiswahili (kuandika na kusoma) inafundishwa bure kabisa wahi offer hii
 
Ila BUKOBA mna mambo We jamaa njoo kwetu kuna wadada. WAKALI SANA ANZIA Same, moshi Arusha hadi Manyara utakuwa umeshapata kama 10
 
Niliwahi kukataliwa siku za nyuma! Leo hii nikikutana na wale ndugu wanatamani ardhi ipasuke wajifiche
Ndo kilichompata shangazi yangu huyu alomkataa ana upendo kwa kila mtu sasa anaishije vyema na familia yake,binamu yangu hana meno lwa mkong'oto na matunzo sifuri
 
kijana mbona unataka kujidhalilisha sana,piga chini huku ukiendelea kula k ya bure.but wahaya wana nature ya kujisikia
 
Nina shaka hasa kipindi hiki ambacho wamama wanafunga na kuswalj ili mabinti xao wapate mwenza!
Au ulikula kuku sasa unataka kula na mayai??
 
Kuna mawili hapo, huenda wamejua unakipato kidogo au hajapenda kabila lako....Cha kufanya usiwape his taarifa washenga ila cku ikifka tu waende, tafuta hell ipo cku watakutafuta wenyewe. ..akizingua achana na bint yake.
 
Ndo kilichompata shangazi yangu huyu alomkataa ana upendo kwa kila mtu sasa anaishije vyema na familia yake,binamu yangu hana meno lwa mkong'oto na matunzo sifuri
Doooh ni vyema wazazi au walezi wakajiweka pembeni kuliko kuwaamulia watoto wao
 
Tatizo kabla ya ndoa duh mkuu binti anafahamu sababu halisi mwambie akupe ukweli. Mkwe hawezi wakwepa kiasi hicho either hapendi kabila lako au huna kipato akitakacho.
Mtoa mada atakua Mpare au Mjita na kipato Cha kuunga
 
Ila angalia wamama wa Kiaya wakichukia hutakaa upate mtoto hapo. Mbembeleze tena omba upeleke ka senene kidogo na lubisi ya kutosha na usisaau pia khanga 2 na wax mbiri kama kuomba msamaha
 
Back
Top Bottom