Ni kawaida wagombea uraisi kutambulisha au hata kuambatana na wake zao ktk kuwania nafasi hiyo,mf.jakaya na mama salma,kibaki na mkewe bi. Lucy kibaki n.k. Pale ashindapo nafasi hiyo huwa 'first lady' wa taifa hilo kama ilivoonekana kwa waliotajwa hapo juu,tukirudi ktk uchaguzi wa mwaka huu ambao ushindani mkubwa unaonekana kati ya magufuli kupitia c.c.m dhidi ya Lowassa kupitia chadema chini ya mwavuli wa UKAWA,tumemwona mke wa Lowassa bi.Regina akinadi chadema kuhakikisha wanatwaa dola,swali la kujiuliza kwanini bi. Janeth Magufuli hamsaidii bwana ake na chama chake kupata ushindi? je ni mkato wa tamaa au hakubaliani na nafasi aigombeayo magufuli? hongera Lowassa kwa kuwa strong na kupata mwanamama jasiri kama wewe,tumeona juhudi zenu kwa pamoja hivo tutakupigia kura