Mama salma Kikwete alimsaidia sana Mumewe kwenye kampeni 2005, tunamwaona pia mama Regina Lowassa akimuunga mkono Mumewe, Vipi kuhusu mama Magufuli mbona yupo kimya?
Kwenye uzinduzi wa kampeni pale jangwani alitambulishwa mwishoni tena kwa kukunbushwa na Kikwete. Inaonekana anamuacha sana nyuma na mama hayuko excited na ndoto ya mmewe.
Yule mama anamwogopa Mungu,kwahiyo anaogopa kuingia katika dhambi ya kuiunga mkono CCM inayoiba na kutumia mali za umma wakati wananchi wana maisha magumu haswa. ANAOGOPA DHAMBI.
Mama hataki kabisa haya mambo kwani anatambua jinsi mume wake alivyo kicheche akipata huo urais ndio watatengana kabisa (japokua nina uhakika Magufuli hawezi kuwa Rais)
Nchi inahitaji kiongozi mwenye afya njema na mpambanaji wa ufisadi na wizi, edo sifa hiZo hana hata moja, kusimama penyewe hawezi dk 15 hajafika anatetemeka tu, jaman mwambien ikulu hakuna wodi ya wagonjwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.