Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,642
Asante,mkuu!Aliacha
Asante,mkuu!Aliacha
AhahahaKuna jamaaa haajuagi shughuli za kinamama au kujali mwaliko hata kitchen part anang'ang'ania kuingia...Mr.Misifa au Zero thinker au Mdogo nepi
Inamaana walikuwa wote unataka kuniambia!!!!Kuna jamaaa haajuagi shughuli za kinamama au kujali mwaliko hata kitchen part anang'ang'ania kuingia...Mr.Misifa au Zero thinker au Mdogo nepi
Mama yetu,, First lady Ameyasema hayo pindi alipoitembelea shule ya Msingi mbuyuni kuwaaga wanafunzi wake na walimu wenzake.. ameahidi atamkumbusha Mh Rais changamoto za walimu kwani zinafanana nchi nzima.Na anazifahamu..
Viva Mama yetu, Walimu tupo Nyuma yako usituangushe...