zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Mme wake alikuwa RAIS wa ZNZ (anapata marupurupu ya viongozi wastafu wa ZNZ)
Mtoto wake alikuwa RAIS wa ZNZ (Anapata marupurupu ya viongozi wastaafu wa ZNZ)
Kwahiyo anataka Serikali ya JMT nayo impatie marupurupu?
Yes, Makamu wa Rais wa Tanzania, mbona Jumbe anapewa?