Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Aisee, dunia inakwenda kasi sana. Nakumbuka miaka ya 2010 to 2015, wimbi kubwa la wanawake liliifahamu pesa. Wajuba tukawa tunaponea kwa wake za watu na vitoto vya jamhuri (enzi hizo mafuta ya Parachute hayajaanza kutengenezwa)
Nowdays wanawake wote nchini wameifahamu pesa. Si watoto, wala wazee. Inauma sana. Mama Huruma hakuna tena. Nowdays ni Nipe Nikupe. Yaani hata tule tubinti tudogo tudogo, kwa sasa tumekubuhu, huna pesa pita kule
Jijini Dar es salaam mambo yamepamba moto, yaani ukitaka uwe member wa kataa ndoa kwa lazima, njoo uishi Dsm. Mbususu zinachakatwa kwa pesa, siku hizi kutongoza katongoze mbuzi, ni mwendo wa sema una sh.ngapi kwa mwanamke yoyote yule, narudia, yoyote yule umtakaye
Ee Mola, wapi twaelekea?
Nowdays wanawake wote nchini wameifahamu pesa. Si watoto, wala wazee. Inauma sana. Mama Huruma hakuna tena. Nowdays ni Nipe Nikupe. Yaani hata tule tubinti tudogo tudogo, kwa sasa tumekubuhu, huna pesa pita kule
Jijini Dar es salaam mambo yamepamba moto, yaani ukitaka uwe member wa kataa ndoa kwa lazima, njoo uishi Dsm. Mbususu zinachakatwa kwa pesa, siku hizi kutongoza katongoze mbuzi, ni mwendo wa sema una sh.ngapi kwa mwanamke yoyote yule, narudia, yoyote yule umtakaye
Ee Mola, wapi twaelekea?