joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,172
- 31,751
Hana wasi naona yeye kazi yake kula miogo mibichi, karanga, nazi zile mbata na Alkasus, ili a-maintain pumzi na ubunifu kitandani.S. Tangia anauza mitumba ya madem
Zamani alikuwa Mario,alikuwaga na mwana mmja namjua michongo yao ilikuwa hiyo hiyo
Ya kudeal na wamama watereze, sasa kwa connection hii aliyoipata unafikiri ataliachia tawi
Kweli
Ova