nyaunyau
Senior Member
- Oct 28, 2009
- 132
- 26
mama aliyepotea ghafla pale palmbeach surrender bridge amepatikana,mama huyo jina halijafahamika alikuwa akiendesha gari alipofika kwenye mataa alisimama aliamua kumsaidia mlemavu ombaomba kwa kumpa pesa,baada ya kitendo hicho alishanga kuona manyoya yameota mkononi ndipo alipomwita askari wa usalama barabarani,askari akamuuliza yule mlemavu ndipo mlemavu akasema kama mama huyo anataka kupona atoke garini amkumbatie,mama kusikia hivyo akaona easy akaenda kumkumbatia ndipo kufumba na kufumbua wakatoweka machoni pa askari na mashuhuda wengine.leo hii wachungaji wamefika eneo la tukio wamekemea nguvu hiyo hadi mama huyo amepatikana akiwa uchi na akili yake si nzuri yupo muhimbili hospitali kwa uchunguzi.source: praise power radio