Mama apotea ghafla salendar bridge

Hii Salendar Bridge iko wapi au ndio mazingaombwe yanaendelea :)
 
bonde la msimbzi linapoungana na bahari kuna daraja barabara ya ally hassan mwinyi ilijengwa na kajima.
Asante sana Mkuu Ngwala mimi nilikuwa nikiijua Selander Bridge tu, anyway si kitu kwani nasikia hadi majina ya mitaa yanabadilika kwa kasi ya ajabu - yoote shauri ya maisha bora zaidi kwa kila mtaa, oops kila mtanzania !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom