Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Una maana Selander Bridge. John Selander alikuwa Waziri wa Ujenzi katika Serikali ya Gavana.
Hii Salendar Bridge iko wapi au ndio mazingaombwe yanaendelea
Asante sana Mkuu Ngwala mimi nilikuwa nikiijua Selander Bridge tu, anyway si kitu kwani nasikia hadi majina ya mitaa yanabadilika kwa kasi ya ajabu - yoote shauri ya maisha bora zaidi kwa kila mtaa, oops kila mtanzania !bonde la msimbzi linapoungana na bahari kuna daraja barabara ya ally hassan mwinyi ilijengwa na kajima.