Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
duniani tunapitamhh!! nini flower?
duniani tunapitamhh!! nini flower?
sasa hutakiduniani tunapita
Hii story mwanzoni sikuiamini lakini nadhani it sums up now kwamba hili tukio litukia kweli. SIjui tukimbilie wapi wajameni.
Hilo ni lazima hatuna ujanja my dear.sasa hutaki
Alcadabra za mujini hizo, wenye akili hutambua....umesahau wale misukule wa LWAKATARE mama mchungaji sijui, umesahau yale ya yule binti alianguka na ndege ya uchawi Tabata, mmmh shauri yako....Hii story mwanzoni sikuiamini lakini nadhani it sums up now kwamba hili tukio litukia kweli. SIjui tukimbilie wapi wajameni.
Hassani,
Take it from me, hiyo habari sio ya kweli na haitakaa kuwa ya kweli. it is basically a hoax!
Hilo ni lazima hatuna ujanja my dear.
Binamu kuwa makini na lugha unazo tumia oooh wengine wana stimu za karibu.
Kaka hupendi niitwe dia,hujui hizo ndo motivation za JFBinamu kuwa makini na lugha unazo tumia oooh wengine wana stimu za karibu.
Sisy BHT kafanya nini tena huyu?na wewe siku zako za kupotea zinakaribia
Sisy BHT kafanya nini tena huyu?
kuna mtu aliweka thread ya hii kitu humu na akadai yeye kaisikia mtu akishuhudia kanisani tena akataja na kanisa kabisa kuwa ilikuwa Azania Front
Missing you
Si unajua mimi na wewe ni kama Kakobe na Tanesco ama Mapanga na Tarime!
na wewe siku zako za kupotea zinakaribia
same here Masanilo!!! hapo kwenye red Masa wee acha tu.........
ulipotea ghafla leo mpaka nikapata mawazo mabaya labda na wewe yamekukuta ya selander bridge
Wakuu hii kitu haijatokea kabisa na haipo story imetungwa hiyo.