watanzania sasa wamekuwa na matumaini sana na wabunge wao kwa ujasiri waliounesha bungeni kwa kuweka maslahi ya taifa mbele bila ya kujari itikadi ya vyama,lakini ni jambo la kusikitisha kama baadhi ya wabunge watakuwa wanafanya hivyo kwa sababu ya jazba au chuki binafsi.nasema hivi kwa sababu kuna ushahidi tosha kuwa mama malecela(anna kilango)alikuwa na ugomvi mkubwa na mama anna mkapa kiasi kwamba mama anna mkapa aliwahi kumlipoti kwa viongozi wa juu wa chama,na kisa cha ugomvi huo ni juu ya mama anna malecela alikuwa anamtambia mama mkapa kuwa zamu yake(mama malecela)first lady imefika na hivyo mama mkapa aaanze kufungafunga virago na kuondoa ofisi yake kabisaa kwenye maeneo ya ikulu.kwani mama malecela alikuwa anajua kuwa mumewe atakuwa mgombea wa urais kwa ticket ya CCM na hivyo kuwa RAIS.hivyo nasi tuwe makini ktk kuwashabikia hawa wabunge kwani wengi kwa sasa wanajifanya wanayaweka maslahi ya nchi mbele kwa sababu ya hasira zao,ina maana kipindi chote walichokaa kwenye bunge walikuwa wamefungwa midomo?tuendelee kuwamulika ili tuone kama wataendelea kukemea?au ndio wanajitengenezea mazingira ya kula vizuri?
Huu ndo umbeya wenyewe.
Kama anahasira au ana ghubu sisi hatujali ili mradi ameamua kusema yote yaliyo ya kweli mwache aseme.
Huo umbeya wa nani ni mke rais na nani ni mke wa kabwela huko huko kwenye mitaa ya mipasho.
watanzania sasa wamekuwa na matumaini sana na wabunge wao kwa ujasiri waliounesha bungeni kwa kuweka maslahi ya taifa mbele bila ya kujari itikadi ya vyama,lakini ni jambo la kusikitisha kama baadhi ya wabunge watakuwa wanafanya hivyo kwa sababu ya jazba au chuki binafsi.nasema hivi kwa sababu kuna ushahidi tosha kuwa mama malecela(anna kilango)alikuwa na ugomvi mkubwa na mama anna mkapa kiasi kwamba mama anna mkapa aliwahi kumlipoti kwa viongozi wa juu wa chama,na kisa cha ugomvi huo ni juu ya mama anna malecela alikuwa anamtambia mama mkapa kuwa zamu yake(mama malecela)first lady imefika na hivyo mama mkapa aaanze kufungafunga virago na kuondoa ofisi yake kabisaa kwenye maeneo ya ikulu.kwani mama malecela alikuwa anajua kuwa mumewe atakuwa mgombea wa urais kwa ticket ya CCM na hivyo kuwa RAIS.hivyo nasi tuwe makini ktk kuwashabikia hawa wabunge kwani wengi kwa sasa wanajifanya wanayaweka maslahi ya nchi mbele kwa sababu ya hasira zao,ina maana kipindi chote walichokaa kwenye bunge walikuwa wamefungwa midomo?tuendelee kuwamulika ili tuone kama wataendelea kukemea?au ndio wanajitengenezea mazingira ya kula vizuri?
watanzania sasa wamekuwa na matumaini sana na wabunge wao kwa ujasiri waliounesha bungeni kwa kuweka maslahi ya taifa mbele bila ya kujari itikadi ya vyama,lakini ni jambo la kusikitisha kama baadhi ya wabunge watakuwa wanafanya hivyo kwa sababu ya jazba au chuki binafsi.nasema hivi kwa sababu kuna ushahidi tosha kuwa mama malecela(anna kilango)alikuwa na ugomvi mkubwa na mama anna mkapa kiasi kwamba mama anna mkapa aliwahi kumlipoti kwa viongozi wa juu wa chama,na kisa cha ugomvi huo ni juu ya mama anna malecela alikuwa anamtambia mama mkapa kuwa zamu yake(mama malecela)first lady imefika na hivyo mama mkapa aaanze kufungafunga virago na kuondoa ofisi yake kabisaa kwenye maeneo ya ikulu.kwani mama malecela alikuwa anajua kuwa mumewe atakuwa mgombea wa urais kwa ticket ya CCM na hivyo kuwa RAIS.hivyo nasi tuwe makini ktk kuwashabikia hawa wabunge kwani wengi kwa sasa wanajifanya wanayaweka maslahi ya nchi mbele kwa sababu ya hasira zao,ina maana kipindi chote walichokaa kwenye bunge walikuwa wamefungwa midomo?tuendelee kuwamulika ili tuone kama wataendelea kukemea?au ndio wanajitengenezea mazingira ya kula vizuri?
watanzania sasa wamekuwa na matumaini sana na wabunge wao kwa ujasiri waliounesha bungeni kwa kuweka maslahi ya taifa mbele bila ya kujari itikadi ya vyama,lakini ni jambo la kusikitisha kama baadhi ya wabunge watakuwa wanafanya hivyo kwa sababu ya jazba au chuki binafsi.nasema hivi kwa sababu kuna ushahidi tosha kuwa mama malecela(anna kilango)alikuwa na ugomvi mkubwa na mama anna mkapa kiasi kwamba mama anna mkapa aliwahi kumlipoti kwa viongozi wa juu wa chama,na kisa cha ugomvi huo ni juu ya mama anna malecela alikuwa anamtambia mama mkapa kuwa zamu yake(mama malecela)first lady imefika na hivyo mama mkapa aaanze kufungafunga virago na kuondoa ofisi yake kabisaa kwenye maeneo ya ikulu.kwani mama malecela alikuwa anajua kuwa mumewe atakuwa mgombea wa urais kwa ticket ya CCM na hivyo kuwa RAIS.hivyo nasi tuwe makini ktk kuwashabikia hawa wabunge kwani wengi kwa sasa wanajifanya wanayaweka maslahi ya nchi mbele kwa sababu ya hasira zao,ina maana kipindi chote walichokaa kwenye bunge walikuwa wamefungwa midomo?tuendelee kuwamulika ili tuone kama wataendelea kukemea?au ndio wanajitengenezea mazingira ya kula vizuri?
Huu ndo umbeya wenyewe.
Kama anahasira au ana ghubu sisi hatujali ili mradi ameamua kusema yote yaliyo ya kweli mwache aseme.
Huo umbeya wa nani ni mke rais na nani ni mke wa kabwela huko huko kwenye mitaa ya mipasho.
Lakini hasa nimeguswa na munkari wa ghafla uliojitokeza haswa kwa wabunge wa kutoka chama kitukufu cha CCM..Kiufupi ni kuwa grafu ya 'uzalendo' imepanda kwa ghafla sana kiasi cha kutisha, na hivyo kuibua maswali muhimu kama Je, maovu na ulaji serikalini na uzembe umeanza hivi majuzi tuu? Je munkari wa uzalendo upo to stay au ni kiini macho? Je hakuna 'sababu' ya ziada kuhusu 'ari' hii mpya ya 'uzalendo' miongoni mwa wabunge ambao kikawaida nyendo na misimamo yao inaenda ikibadilikabadilika?
Let us ponder this one..
Sidhani kama huu ni umbeya hata kidogo. Kiukweli sote tumefurahishwa na hatua ndogo (hii ni kwa mujibu wangu mwenyewe) iliyopigwa mathalan ktk bunge lililopita na ktk mambo ya Richmond, Mh.Lowassa kujiuzulu, EPA etc..
Lakini hasa nimeguswa na munkari wa ghafla uliojitokeza haswa kwa wabunge wa kutoka chama kitukufu cha CCM..Kiufupi ni kuwa grafu ya 'uzalendo' imepanda kwa ghafla sana kiasi cha kutisha, na hivyo kuibua maswali muhimu kama Je, maovu na ulaji serikalini na uzembe umeanza hivi majuzi tuu? Je munkari wa uzalendo upo to stay au ni kiini macho? Je hakuna 'sababu' ya ziada kuhusu 'ari' hii mpya ya 'uzalendo' miongoni mwa wabunge ambao kikawaida nyendo na misimamo yao inaenda ikibadilikabadilika?
Let us ponder this one..
Mtindiowaubongo,
Hapa tunachokipigania ni mabadiliko ya wanasiasa wetu ili walete maisha bora kwa waTanzania. Sasa kama watu kama akina Kilango, Selelii wanabadilika, je, si tutakuwa wa ajabu tukianza kuhoji kasi yao ya mabadiliko? Ulitaka graph ipande pole pole, halafu iweje?
Alichokisema Kilango ni uongo? Mbona tunaanza kujikana wenyewe sasa? Kama kila hoja atoayo mtu haitasikilizwa, na badala yake anaanza kuchambuliwa mtu aliyeitoa hoja, tutasikiliza nini na toka kwa nani? Sasa Nchi hii hatimaye si itakuwa ya wanafiki tu sasa?
Mkuu, tusisahau kuwa hawa wote ni wanasiasa na hivyo wanatakiwa kufanya kile kitachowapa umaarufu kwa wapiga kura. Hiyo sio dhambi. Kuna watu walimponda Obama lakini walipoona mambo yanavyoenda wamegeuka na kumuunga mkono. Ndiyo siasa. Huyu mama inawezekana kabisa kuwa ameona namna ya yeye kutambulika na kukubalika katika jamii ni kuwa mstari wa mbele katika kuonyesha uzalendo wake. Hii ni haki yake na hakuna anayeweza kumlaumu kwa hili. Sasa kama anafanya hivi ili kuficha maovu yake hapo atastahili kukemewa. Aliyeleta mada hii hakuonyesha maovu yeyote isipokuwa kuwa alimtambia mwenzake kuwa zamu yake imefika. Hili ndilo tunalopinga na kusema kuwa ni umbeya. Hatuwezi hata siku moja kumhukumu huyu mama kwa hilo. Itakuwa ni kumuonea. huyu mama ahukumiwe kwa vitendo vyake ambavyo kwa upande wangu naona anastahili pongezi kwa kuwa muwazi na mkweli. Kama ndiyo anajijenga ili awe rais wa kwanza mwanamke,au anamfagilia mume wake, sioni tatizo lolote. Walio na busara kuliko mimi walisema,"ili mradi paka anakamata panya, hatutojali rangi yake".
Shukrani kwa mchango wako:
Mimi binafsi sipingi manouvres za wanasiasa as long as recipient wa effects zake si mlalahoi. Suala la upotevu wa pesa halihitaji political manouvres ,it is a criminal offence..Kama mtu atajipatia umaarufu down the process si kosa..hapo nafikiri tunakubaliana..Hilo la kwanza.
Nafikiri kwa kiasi kikubwa kazi ya kamati ya Dr. Mwakyembe haikuwa ya kisiasa na ndio maana watu tupo sensitive nayo na mapendekezo yake yapo wazi na si ya kisiasa. Kwa maoni yangu mpaka sasa kazi ya kamati na efficiency yake haijafikia hata 30% kwani pesa haijarudishwa, mkataba haujavunjwa, wahusika hawajaitwa hata polisi kutoa maelezo ya awali..n.k.
Mfano wako wa paka kukamata panya haujaumalizia vizuri, ni hivi: Suala la kuzingatia hapo ni kuwa baada ya huyo paka kumkamata panya anamfanyaje? Je anachanachana vipandevipande na kumtupa 'nje' kwenye kilio na kusaga meno? Au 'panya' na wafuasi wake wanatukuzwa na kutungiwa mapambio kuwa 'wameiva kisiasa' kwa kujiuzulu? etc Kwa jinsi 'panya' (au 'mapanya') (w)alivyokamatwa majuzi inaonekana dhahiri kuwa kuna kila dalili 'mapanya' wakapewa gunia jingine la wananchi, tena nono zaidi siku za usoni wazidi kulitoboatoboa. Na vilevile 'paka' wetu hajaonyesha mkakati wake wa kudumu kuwashughulikia mapanya wote waharibifu na kuwa na clear cut consistence..
Suala la kupima motive(s) behind any move si suala la mzaha au la kulipuuza. Motives za mwanasiasa ni muhimu kuliko hata modality anayoihubiri..
Sasa una maana kwamba aliyosema ni ya uongo? Muhimu amesema mambo ambayo yapo na ametumia jukwaa sahihi. acha kutumiwa na hao mafisadi, nilazima tuwe macho, mbona tukisismama pamoja tutafanikiwa kuwaondoa, TUWE MAKINI!!!!!!!!!!
Hiyo ya panya, cha msingi ni kuwa panya amekuwa si tatizo tena. Atakayofanya paka baada ya hapo ni ishu nyingine lakini haiondoi ukweli kuwa alimkamata panya. Huyu panya tuliyemuona tatizo tutaanzaje tena kumuimbia pambio? Watakaofanya hivyo si watakuwa mapanya wengine? Dawa si itakuwa kutafuta paka wengine na kujumuisha nguvu zao kuwashughulikia badala ya kuanza kusema kuwa ati wewe kwa sababu ni paka wa kijani hatukuhitaji? Awe wa kijani au bluu apimwe kwa uwezo wake wa kumshughulikia panya na si vinginevyo...