Wote tulisikia na tulielewa!! Kuwa mama amewaahidi simba sh 10M kwa kila goli watakalofunga!! Hayo maelezo ya ziada hakuyasema na hatukuyasikia (kuwa simba mpaka ishinde, kama angekuwa amesema hivyo, Msigwa asingekuwa na sababu ya kutoa maelezo na Simba isingetarajia pesa hizo) na yamekuja kusemwa baada ya jasho kuvuja na simba kupata magoli 2 hapo kwa Mkapa, hivyo mama kujua simba inatarajia hizo pesa.
Huko Misri Simba ilipata goli moja!! Mama anadaiwa sh 30M na Simba!! Naomba mama alinde heshima yake kwa kutunza na kutimiza ahadi yake!! Asitafute mpenyo wa kukwepa!! Halafu huko nyuma aliwahi kutoa hizo pesa kwa timu iliyofungwa!! Mama ni wa wote!!
Chonde chonde mama itabidi tu utoe hizo 30M. Vinginevyo hiyo haikuwa ahadi ya dhati bali ilikuwa ni kejeli kwa kuamini kuwa simba haina uwezo wa kufunga goli dhidi ya Al Ahly).
Bila kutimiza ahadi ujue kabisa kuwa umejipatia doa kubwa katika vigezo vya kuaminika na uadilifu!! Huyu mh Msigwa asikuingize chaka!!
Huko Misri Simba ilipata goli moja!! Mama anadaiwa sh 30M na Simba!! Naomba mama alinde heshima yake kwa kutunza na kutimiza ahadi yake!! Asitafute mpenyo wa kukwepa!! Halafu huko nyuma aliwahi kutoa hizo pesa kwa timu iliyofungwa!! Mama ni wa wote!!
Chonde chonde mama itabidi tu utoe hizo 30M. Vinginevyo hiyo haikuwa ahadi ya dhati bali ilikuwa ni kejeli kwa kuamini kuwa simba haina uwezo wa kufunga goli dhidi ya Al Ahly).
Bila kutimiza ahadi ujue kabisa kuwa umejipatia doa kubwa katika vigezo vya kuaminika na uadilifu!! Huyu mh Msigwa asikuingize chaka!!