-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 1,669
- 2,797
Hospitali hakuna madawa, vitanda wala vifaa tiba
Mashuleni hakuna madawati, vitendea kazi, walimu pamoja na vyoo.
Vijijini na mijini hakuna maji pamoja na miundo mbinu mibovu ya barabara pamoja na usafiri.
Makazini mishahara haitoshi na weledi umepungua kwa kiwango cha lami.
LAKINI PAMOJA NA HAYO YOTE VIPAUMBELE VIKUU INCHINI VIMEKUA NI SHEREHE PAMOJA NA MATAMASHA YA KUGAWINA PESA NA KUSIFIA "mama anaweza", "mama amefanya", "mama mitano tena"
NGOJA NA MIMI NIANDIKE MAKALA " Watanzania tupande miti" kisha nipewe mil10 pamoja na safari ya anasa huko ughaibuni kwa baideni nikale bata kidogo.
Mashuleni hakuna madawati, vitendea kazi, walimu pamoja na vyoo.
Vijijini na mijini hakuna maji pamoja na miundo mbinu mibovu ya barabara pamoja na usafiri.
Makazini mishahara haitoshi na weledi umepungua kwa kiwango cha lami.
LAKINI PAMOJA NA HAYO YOTE VIPAUMBELE VIKUU INCHINI VIMEKUA NI SHEREHE PAMOJA NA MATAMASHA YA KUGAWINA PESA NA KUSIFIA "mama anaweza", "mama amefanya", "mama mitano tena"
NGOJA NA MIMI NIANDIKE MAKALA " Watanzania tupande miti" kisha nipewe mil10 pamoja na safari ya anasa huko ughaibuni kwa baideni nikale bata kidogo.