Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Hata vyama vingi wengi walikataa lkn yakafanyika mabadiliko,msitumie ujinga wa wtz wengi kuendelea kutawala
Wanaodai katiba kwa nguvu sio wananchi ila ni CHADEMA idadi yao haifikii hata robo ya watanzania wote
Na hao CHADEMA wanadai hiyo katiba kwa tamaa yao ya madaraka wanahisi labda litakua daraja la wao kuingia madarakani na ndio maana wakuzungumzia katiba mpya wanalenga katika tume ya uchaguzi
In short ndio CHADEMA inakufa maana mtapoteza hi miaka 4 yote kudai katiba na hiyo katiba haitapatikana
R.I.P CHADEMA
Sent using Jamii Forums mobile app