Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Hawa wabunge wanaweza kuwa wanapata hii pesa yote ila kwa hesabu zangu ni pesa ndogo sana ukilinganisha na natumizi yao.
1. Matumizi makubwa yapo kwenye campain. Budget huongezeka kutokana na nguvu ya upinzani jimboni.
2. Gharama zake za kimaisha kama mbunge.
Kumbuka mbuge hawezi ingia hotel za chakula cha elf 2000 kama sisi makapuku. Hawezi vaa nguo za mitumba.
Kwa ufupi kunacost za kimaisha ambazo hukutana nazo kumaintain status yake kama mbunge.
3. Mbunge anacost nyingine za ulinzi, usafiri etc.
Kwa ujumla hii ni pesa ndogo ni sawa na mshagara wa mwalimu kule USA.
1. Matumizi makubwa yapo kwenye campain. Budget huongezeka kutokana na nguvu ya upinzani jimboni.
2. Gharama zake za kimaisha kama mbunge.
Kumbuka mbuge hawezi ingia hotel za chakula cha elf 2000 kama sisi makapuku. Hawezi vaa nguo za mitumba.
Kwa ufupi kunacost za kimaisha ambazo hukutana nazo kumaintain status yake kama mbunge.
3. Mbunge anacost nyingine za ulinzi, usafiri etc.
Kwa ujumla hii ni pesa ndogo ni sawa na mshagara wa mwalimu kule USA.