4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,303
- 12,954
Halafu utasikia,Mara ho wafanyakazi wasiongezewe mshahara,tuna watu waajabu Sana tz , ubifsi,wizi ambao wengi utawakuta wakidajali kwamba ni fulsa na ukiwagusa wanachachamaa Kama kunguni.
Tanzania ina shida Sana kila mmoja huku chini hutafuta fulsa za wizi, na dhulma.
Tanzania ina shida Sana kila mmoja huku chini hutafuta fulsa za wizi, na dhulma.
