Jamal malinzi rais wa tff mwenye mageuzi kama david moyes wa man utd tunahitaji majibu ya maswali yenye ukakasi ukianza kuweka taasis kubwa kama TFF kwenye mfuko wako na wadau wako napata kuumwa kichwa kidogo.
Inanifanya niamini kuwa hata kukiwa na ubadilifu wa hela hapo kwenye taasis yako na wadau wako usiulizwe hii n zaidi ya tanzania tuijuavyo.
Najiuliza ivi taasis yako hii na wadau wako mkifikisha mwaka itakuwaje kama hii miezi minne mmeanza kuiweka mfukoni mwenu jaman mbona huruma hakuna.
Sitaki kuamini kuwa na huku kwenye taasis ya malinzi na wadau wako kuna watu wamekuja kuchuma ili wakamalizie nyumba zao,haya malizeni hata icho mlichoachiwa na wenzenu alafu tuone itakuwaje.
Haya maswali kila mpenda michezo hasa soka anatakiwa kujiuliza maana tunarudi kwenye mabasi ya railways enzi zileeee badala ya kuelekea mbele.
Ivi kweli ata Sepp Blattler na yy huwa anaotoa hela mfukoni kwake na wadau wake daah kichwa kinauma kwelii
Inanifanya niamini kuwa hata kukiwa na ubadilifu wa hela hapo kwenye taasis yako na wadau wako usiulizwe hii n zaidi ya tanzania tuijuavyo.
Najiuliza ivi taasis yako hii na wadau wako mkifikisha mwaka itakuwaje kama hii miezi minne mmeanza kuiweka mfukoni mwenu jaman mbona huruma hakuna.
Sitaki kuamini kuwa na huku kwenye taasis ya malinzi na wadau wako kuna watu wamekuja kuchuma ili wakamalizie nyumba zao,haya malizeni hata icho mlichoachiwa na wenzenu alafu tuone itakuwaje.
Haya maswali kila mpenda michezo hasa soka anatakiwa kujiuliza maana tunarudi kwenye mabasi ya railways enzi zileeee badala ya kuelekea mbele.
Ivi kweli ata Sepp Blattler na yy huwa anaotoa hela mfukoni kwake na wadau wake daah kichwa kinauma kwelii