Ndu zangu kama kweli inavyosemekana nikweli mwenzetu yaliyomsibu yalitokakana na Ugeni chumbani mwake, mimi naita kamati ya BURUDANI. Nikweli haka kamchezo kapo na kamejipatia umaarufu kwa jina la NYONYA SWEET. Hivyobasi kamandivyo twaweza sema kilichomgarimu mwenzetu ni NYONYA SWEET. Mchezo uko hivi, kabla ya BURUDANI mtoto wa kike tayali, anakuwa amekwisha pakaza chuchu za maziwa yake dawa ya kulevya. Hivyo mnapokuwa kitandani atakushawishi umnyonye maziwa kwa luga ya unyenyekevu, akisema NYONYASWEET, Hivyo na wewe kwakujowa kuwa unapewa BRUDAN, pasipo shaka utanyonya. ukishanyonya itakuchukuwa sekunde kadhaa, baada ya hapo huna utakachohtaji zaidi ya kuchapa Usingzi, na ukisha lala tu! kila ulichonacho kwa wakati huo ni harali yake, hivyo kubeba kila ulichonacho au kuchagua kipi abebe kipi asibebe itategemea na uamuzi wake. Hivyo na waasa ndgu zangu unapochukua Demu usiyemjua epuka NYONYASWEET. Vinginevyo unapokamata myama usiye jua katoka poli gani yumkini kuwa makini nae. Baba nasema epuka kupiga MNYONYO, hovyo.