Malima akubali...

Malima akubali...

Mtafiti1

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
263
Reaction score
148
Akubali kuwa kakosea yaishe.
Kukosea ni kawaida ya binadamu na ndio kujifunza.
Kwani mtu mzima akikosea si inaeleweka?
Sasa mlitakaje jamani? Mtu mzima yeyote awaye yule anaweza
kuona " mtu mzima mwenziye kaumbuka".
Hebu tujifanye tumeshaelewa na tumsamehe.
Vyovyote ilivyokuwa, ukweli anaujua mwenyewe.
Kama ni makosa ( kubeba pesa nyingi, kubeba silaha hata zisizo za lazima,
kukaribisha wageni wasiohitajika, kukaa chumba bei mbaya bila sababu,
kutoa maelezo marefu yenye kukinzana etc etc) keshajifunza.
Tumsamehe tu.
 
Akubali kuwa kakosea yaishe.
Kukosea ni kawaida ya binadamu na ndio kujifunza.
Kwani mtu mzima akikosea si inaeleweka?
Sasa mlitakaje jamani? Mtu mzima yeyote awaye yule anaweza
kuona " mtu mzima mwenziye kaumbuka".
Hebu tujifanye tumeshaelewa na tumsamehe.
Vyovyote ilivyokuwa, ukweli anaujua mwenyewe.
Kama ni makosa ( kubeba pesa nyingi, kubeba silaha hata zisizo za lazima,
kukaribisha wageni wasiohitajika, kukaa chumba bei mbaya bila sababu,
kutoa maelezo marefu yenye kukinzana etc etc) keshajifunza.
Tumsamehe tu.

Akosaye huadhibiwa!!!!!!! no porojo.
 
Unaomba akubali au unatutaarifu kuwa amekiri kuwa kakosea? Fafanua mkuu
 
yule aliyemwibia walichezanae dili nn mi nashangaa alikodi chumba afu yy akaka sebuleni hadi alfajiri ss chumba amelipia cha nn?
 
Sasa akubali nini?

Toka lini kubeba vijipesa ni makosa, viwe vingi au kidogo?

Toka lini kuwa na silaha Hotel, kama unazimiliki kihalali ni kosa?

Hilo la wageni unasema wewe.
 
Unaniambia malima hajui umuhimu wa kuwa na Account ya benk? Na kuwa na ATM CARD? Maana sikuhizi kuna master card unayoweza kutoa pesa popote pale dunian... Waziri mzima... Anatuaibisha watanzania....
 
Sijaelewa kabisa,
Ni hivi luv huyu naibu waziri katika ziara yake alizidiwa akachukua changu akaibiwa sasa anataka kutudanganya,changu hajachukua silaha kwakuwa alikuwa na shida ya hela tu na laptop atauza,umeelewa sasa ?
 
Unaniambia malima hajui umuhimu wa kuwa na Account ya benk? Na kuwa na ATM CARD? Maana sikuhizi kuna master card unayoweza kutoa pesa popote pale dunian... Waziri mzima... Anatuaibisha watanzania....
Kwake 1.5m na $4000 ni kama sisi tunavyotembea na vielfu hamsini vyetu na $50 pamoja na ATM za kuringishia lol!
 
Sasa akubali nini?

Toka lini kubeba vijipesa ni makosa, viwe vingi au kidogo?

Toka lini kuwa na silaha Hotel, kama unazimiliki kihalali ni kosa?

Hilo la wageni unasema wewe.

Huyo atakuwa anaenda kushiriki kwenye tukio la ujambazi, sema wajanja wakamshtukia wakaharibu move! Huo utetezi wake hauingii akilini kabisa, anafikizi sie mazoba kihivyo.
 
aombae msamaha jamani usamehewa,walio wengi humu ni wanaume,na tabia ya malima japo si wote inashabihiana na baadhi yetu humu ndani,mpeni msamaha,lakini muonyeni na kwa ushauri binafsi mwambieni kuwa ni vyema akaweka taarifa sahihi kuhusu tukio,manake isije ikaisha leo kisha ikaja kuanza kabla ya kuisha kuwa kumbe alisema kaibiwa dola 4000 na sivyo kumbe zilikuwa ni dola 400,000.Na kuwa akuibiwa akiwa sebureni bali alikuwa na kipozea stress za purukushani ya majukumu ya kibongo ambayo kwayo saizi ni presha kwa kuwa hata waziri hana uakika na ajira yake hivyo nae alikuwa kwenye kiguzi cha ulefu wa kamba yake akijarbu kuchuna lakini dada yetu pia akamuweka sawa kwake kuwa kibuzi.

Hakika wana JF kwa niaba ya Watanzania mpeni msamaa apewe taadhari husika kwa kuweka kumbukumbu sahihi kwa kuwa kama ikija gundulika vinginevyo na maelezo yake mbele ya umma,hakika itakuwa dhambi mbaya sana kwa kufuga ugonjwa kwa kuwa kwa kusema wazi atawasaidia Watanzania wengi wenye kupenda viburudisho pindi wawapo kazini maeneo mbali na nyumbani watajiepusha na viburudisho kwa kuona ni hatari na si salama kwa afya na vitendea kazi vya mhsusika na mbaya sana kwa maadili ya viongozi ambae anapaswa kuishi kwa sura ya mfano wa kupigiwa picha.
 
Unaomba akubali au unatutaarifu kuwa amekiri kuwa kakosea? Fafanua mkuu
Heading ameifanya kama vile malima katoa tamko la kukubali kukosea.
Ukija kwenye body, inaonekana mleta hoja anamwombea malima msamaha.

Kuna uwezekano mkubwa mleta hoja akawa ndo malima mwenyewe, si unakumbuka hata alivyokuwa anahojiwa Redio wani siku ile alidai kuwa hakuibiwa nguo zote kama ilivyoandikwa jamii forums.

Hivi GTs mmejaribu kufikiria kuwa kuna uwezekano mkubwa sana yale mazingira yaliyotengenezwa pale hotelini (kuvunjwa dirisha) na kuitwa waandishi kulifanywa baada ya ishu yenyewe kuvuja? vinginevyo hii ilikuwa iwe "siri ya watu wawili".
 
HUYO MH. KASHA ELEZA ALIIBIWA VIPI. KABOMOLEWA, WAHUDUMU WALIIBA AU KAVUTA mmmmh TOKA CLUB MAARUFU KA.....BA HAPO MJI PASIPO BAHARI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom