Malia Obama amchungulia baba yake akiwa offisini

Malia Obama amchungulia baba yake akiwa offisini

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,038
Reaction score
34,749
949_639321489419102_1300072703_n.jpg
 
Kumbe jamaaa IN-Tray na OUT-TRAY zake hazina kitu kabisa, nadhani kuna baadhi ya Ikulu ukifika OUT-TRAY inakaribia kujaza chumba...sijui ni wapi huko

Mkuu unamaanisha pale kwa jamaa mtaa wa tatu au?

Mmmmh, huu uchokozi, siku hizi hadi sms ukituma unatafutwa.....Long live Mpwa wasije wakakugeuza "panya" wa experiment
 

Mzizi Mkavu, picha hii inaweza kuleta taswira nyingi isivyokusudiwa na mleta mada.
Hivi Kikwete huwa ana muda wa kutulia ofisini pale magogoni kama huyu Obama anavyofanya? Kiwete ofisi imehamia angani sijui anapohitaji kuchomoa faili kutoka sehemu ofisini huwa anampigia simu ps wake!
 
Back
Top Bottom