Malia Obama amchungulia baba yake akiwa offisini

Malia Obama amchungulia baba yake akiwa offisini

Mzizi Mkavu, picha hii inaweza kuleta taswira nyingi isivyokusudiwa na mleta mada.
Hivi Kikwete huwa ana muda wa kutulia ofisini pale magogoni kama huyu Obama anavyofanya? Kiwete ofisi imehamia angani sijui anapohitaji kuchomoa faili kutoka sehemu ofisini huwa anampigia simu ps wake!

Hivi ni kweli kabisa kwamba hakuna jema lolote ambalo JK ameitendea nchi hii? Siku moja tuseme basi na mazuri yake? Kwa wale wanaosoma Neno la Mungu mtagundua kila neno tunaloongea au kumsemea mtu au nchi yetu linaumbika na kuwa roho inayotenda kazi. Ndio maana tulipoiita hii nchi nchi ya bongo, imekuwa nchi ya bongo kweli!! Mwenye nafasi ya kusoma biblia soma Mithali 23:7(a) na Mithali 18:21. Tuinenee nchi yetu maneno mema tusiifunge nchi yetu kwa kuinenea maneno mabaya kila wakati.
 
Hivi ni kweli kabisa kwamba hakuna jema lolote ambalo JK ameitendea nchi hii? Siku moja tuseme basi na mazuri yake? Kwa wale wanaosoma Neno la Mungu mtagundua kila neno tunaloongea au kumsemea mtu au nchi yetu linaumbika na kuwa roho inayotenda kazi. Ndio maana tulipoiita hii nchi nchi ya bongo, imekuwa nchi ya bongo kweli!! Mwenye nafasi ya kusoma biblia soma Mithali 23:7(a) na Mithali 18:21. Tuinenee nchi yetu maneno mema tusiifunge nchi yetu kwa kuinenea maneno mabaya kila wakati.


Mitazamo tofautitofauti kwa sababu watu tuko tofautitofauti. Mwenye njaa hatakoma kulia njaa mpaka ashibe.
 
Hata mtoto wa JF Kennedy wa mwisho alikuwa anafanya hivyo ila yeye alikuwa mdogo sana. Akimaliza kupiga breakfast anatimkia kwenye ofisi ya Baba yake na toy mkononi.

Huyo mwanae alifariki early 80s kwa ajali ya ndege akiwa yeye mwenyewe rubani.
 
Uafrika shida sana... alipokuja Tanzania magazeti yakaandika alivyokuwa anakata mauno tu.. mikataba waliyokubaliana holaaa... leo tena hili.. tutabadilika lini
 
Back
Top Bottom