Ipo dhana ya kwamba wajerumani wakati wapokuwa wakikurupushwa na waingereza Tanganyika baadhi ya mali zao walishindwa kuondoka nazo,hivyo inasadikika mali nyingi walidhihifadhi chini ya ardhi kwa utaratibu maalumu ambao ktk mazingira ya kawaida si rahisi kuzitoa au kuzihamisha.
Inasadikika mali hizo zitakaa hapo zilipo mpk wao wenyewe watakapoamua kuzifuata,pia inasadikika walitumia "runic rituals"ktk kudhihifadha utaratibu unaoendana na utoaji kafara binadamu.
Yapo maeneo mbalimbali ambako inasadikika masanduku haya yalihifadhiwa, baadhi ya maeneo hayo ni Tanga (usambara), Morogoro, Singida, Lindi, Kilimanjaro na nk.
Yeyote mwenye taarifa zaidi aweza kutujuza zaidi juu ya suala hili, kwani maeneo haya yatakapo julikana vema huenda yakawa chanzo kizuri cha utalii kutokana na historia yake kusisimua.
Nawasilisha.
Hizi habari nazisikia sana pia lakini sina ushahidi wowote wa kuaminika. Kuna wakati nilikuwa kusini mkoa wa Lindi wenyeji wa huko wanasema eti Moja ya alama walizoacha za kuonyesha hizo mali zilipo ni makanisa, kwamba ule msalaba wa juu unakuwa tilted kuelekea sehemu hazina hiyo ilipo ndiyo maana walijenga makanisa hadi misituni.
Yeah nimepata sikia toka kwa mtu wangu wa karibu jamaa zake walichukuliwa na wajerumani fulani ambao walikuwa wakizungumza kiswahili vyema..walifika morogoro wakawachukua hao vijana maeneo ya vibandani kisha wakapandisha.milima ya uluguru walikuwa na vifa ambavyo vyaonyesha location na distance kwa uzuri kabisa...walipofika maeneo fulani kwa maelekezo ya vifaa vyao wakawambia wale vijana ambao waliokuwanao kwamba wanatakiwa chimba hapo walipofika. Walivyo chimba wakuta vitu kama vyungu hivi ila ndani yake vimejaa almasi hapa mchezo jamaa wakapewa vijiwe vichache pale...na hapo wale vijana hata mtaani wakahama kabisa...pia pana stori moja ipo arusha wanasema pana kaburi ambali pana hazina za hao wajerimani ila hakuna alieweza chimba kufanikiwa maana kila anaejaribu kufanya hivyo hujikuta matatani aidha anajikata kwa vichimbio au ananguka na kadha wa kadha...so huenda hayo makitu yapo nchini.
Ni kweli jamaa waliacha hayo madini lakin ni vigumu sana kujua location ya sehemu yalipofichwa mimi binafsi nimebahatika kuwakuta wakiwa katika harakati za kuyatoa na baadaye wakatoa sehem flan mby mwezi wa 8 mwaka huu picha hizo hapo
Hapa kilwa mkuu kuna rupia zipo kwenye magofu ya waarabu lakini ukichukua hata moja tu huoni mlango wa kutokea nje...anaebisha ani PM niko kilwa nimpeleke maana naona mnabisha sana
Hii issue ni kweli,mi kuna mze aliniambia eneo jingine ni Dodoma,inasemekana kuna mzigo wa kutosha wa Wajerumani lakini wamezuga kwa kuweka Kama Makaburi na eneo hilo mtu haruhusiwi kuingia.Ila habari njema ni kwamba inasemekana nchi ya Ujerumani imeridhia Kuwa Mali hizo sasa ni hazina ya Tanzania,ni lini mzigo utapakuliwa Hapo ndo issue,Ila hazina ipo ya kutosha.
Hahaha naogopa mkuu maana hayo mambo yapo kisiwani naeza nikafanikiwa kuyatia lakini nisiweze kuvuka bahar maana majini majini tupunakupa mbinu ya kuchukua nenda na kamba rupia si ina tobo katikati usiinue pitisha kamba kwa kufunga rupia hio alaf iache we toka nje alafu vuta kamba hio. tayari ushapata
enyoy life
Upo serious au?Mwenye FUFUMARK... PASI ...MERCURY NYEKUNDU..NYEUSI AMA NJANO PIA MWENYE KOROFINDO TUWASILIANE TAJIRI YUPO TAFADHALI TUWE SIRIASI PIA MATAPELI NA WASUMBUFU SIWAHITAJI TAFADHAL.. 0716637717......... 0769767771
Namba hipi unatumia whatsapp nikutumie picha kwanza uone..Mwenye FUFUMARK... PASI ...MERCURY NYEKUNDU..NYEUSI AMA NJANO PIA MWENYE KOROFINDO TUWASILIANE TAJIRI YUPO TAFADHALI TUWE SIRIASI PIA MATAPELI NA WASUMBUFU SIWAHITAJI TAFADHAL.. 0716637717......... 0769767771