Mbona hukuingia sasa kwenye 'system' ukala maisha.Mimi ni wale wa longi enzi za Nyerere, tumesoma watoto wa Nyerere, Kawawa, Malecela, Mwinyi, na mawaziri karibu wote, secondari Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, Ilboru high school mtoto wa Warioba, UDSM, LL.B na Riz,
P
Duh mbwa tena !Ulikuwa wa kishua Sana
Kwani babake Mali alikuwa Nani mkuu naona umesema alisoma international school of Tanganyika.
Maana Ile shule siku hizi hakuna mbwa yoyote anabweka pale watu wanajifanya na feza tu
Mzee Kimesera alikuwa tajiri mmoja wa Kimasai kichwa sana, alipata scholarship kusoma ulaya, akaja na mke mzungu kama Sarungi, Mbilinyi, Sepetu, Malocho, na wengine, enzi hizo utajiri unapimwa kwa Mercedes-Benz, zaidi ya Benz ya Nyerere, kuna Katikaza, Bakuname, Lupembe, Mwakitwage, Rugwe na Kimesera walikuwa na Benz, Lord Rajpar akaingiza Benz kali kuliko ya Nyerere, aliozea jela kwa tuhuma za uhujumu uchumi.Ulikuwa wa kishua Sana
Kwani babake Mali alikuwa Nani mkuu naona umesema alisoma international school of Tanganyika.
Maana Ile shule siku hizi hakuna mbwa yoyote anabweka pale watu wanajifanya na feza tu
Ujamaa wa Nyerere ulituharibia hii nchi.Mzee Kimesera alikuwa tajiri mmoja wa Kimasai kichwa sana, alipata scholarship kusoma ulaya, akaja na mke mzungu kama Sarungi, Mbilinyi, Sepetu, Malocho, na wengine, enzi hizo utajiri unapimwa kwa Mercedes-Benz, zaidi ya Benz ya Nyerere, kuna Katikaza, Bakuname, Lupembe, Mwakitwage, Rugwe na Kimesera walikuwa na Benz, Lord Rajpar akaingiza Benz kali kuliko ya Nyerere, aliozea jela kwa tuhuma za uhujumu uchumi.
P
Kila mtu na akili zake!, sijawahi utamani uteuzi wowote!, mpaka leo, mpaka kesho!.Mbona hukuingia sasa kwenye 'system' ukala maisha.
Ungekuta kwa Sasa wewe ni Mh waziri,l au katibu mkuu n.k
Ungechanga vizuri karata zako ungeshakula teuzi kitambo..Kila mtu na akili zake!, sijawahi utamani uteuzi wowote!, mpaka leo, mpaka kesho!.
P
Sijasubiri kuteuliwa ndipo nigome, nimeisha mtumia salamu zangu mteuzi Mimi Pascal Mayalla Sipongezi Kutafuta Uteuzi Wowote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine Kumtia Moyo Kwa Mazuri ya Kweli!Ungechanga vizuri karata zako ungeshakula teuzi kitambo..
Kwani ukiteuliwa utagoma wewe?...
Aaaaah!..huwezi kugomea uteuzi wewe.Sijasubiri kuteuliwa ndipo nigome, nimeisha mtumia salamu zangu mteuzi
P
Paskali kuna mtoto mmoja wa Marehemu Mzee George Mbowe akiitwa Appolo yuko World Bank senior economist unamjua ?Mimi ni wale wa longi enzi za Nyerere, tumesoma watoto wa Nyerere, Kawawa, Malecela, Mwinyi, na mawaziri karibu wote, secondari Tambaza darasa moja na mtoto wa Ben, Ilboru high school mtoto wa Warioba, UDSM, LL.B na Riz,
P
Watoto wa George Mbowe ninaowafahamu mimi ni Gloria na Appolonia, Gloria yuko pale C&G ila Appolonia sikuwahi kujua yuko wapi!.Paskali kuna mtoto mmoja wa Marehemu Mzee George Mbowe akiitwa Appolo yuko World Bank senior economist unamjua ?
Huko makaburini atakutana na ku klux klan watapita naeKabahatika kufa Marekani.
Japo I know both of them, I never know that they met for the first time in 1989 at Bahari Beach hotel, Dar es salaam, this means I might be the one who joined them together, because I was the one who invited Linda to that event at Bahari Beach, though not sure if it was that event of mine or some other events but on that event Linda was the lady of the night. I will cross check with Linda sometimes baada ya msiba.
That event was a wedding reception of mtoto wa kigogo mmoja, a big shot in the State, I was the MC, there was something that needed a super model, and that's where Linda came to my mind, I approached her at Half London, she clinched the deal, she dressed to kill and infact killed someone!
Rip Mali
P
Lord Rajpar yake nakumbuka ililetwa na ndege. Pascal Mayalla unakumbuka zile nyumba zake zilizotaifishwa na Nyerere na kupewa Polisi opposite na Tanesco Kijitonyama ? Nyerere angefufuka leo akaona miamba aki na Dura, angezimia. Kaazi kweli kweliMzee Kimesera alikuwa tajiri mmoja wa Kimasai kichwa sana, alipata scholarship kusoma ulaya, akaja na mke mzungu kama Sarungi, Mbilinyi, Sepetu, Malocho, na wengine, enzi hizo utajiri unapimwa kwa Mercedes-Benz, zaidi ya Benz ya Nyerere, kuna Katikaza, Bakuname, Lupembe, Mwakitwage, Rugwe na Kimesera walikuwa na Benz, Lord Rajpar akaingiza Benz kali kuliko ya Nyerere, aliozea jela kwa tuhuma za uhujumu uchumi.
P
Sidhani kama ni mkorogo, hilo jina la mshua sio la kitzHuyu bambadi wa kigiriki ?
Ila mdada kala mkorogo mkono mweusiii
RIP
Ila waliachana sijui?Pole kwa kwake Linda,, shemeji apumzike kwa amani
Make-up hiyo sio mkorogoHuyu bambadi wa kigiriki ?
Ila mdada kala mkorogo mkono mweusiii
RIP
Kumbe kama taifa bado tupo vizuri, ukimuweka Manju wa muziki Mzee Masoud Masoud, Pascal Mayala, na Dudu baya unapata bonge ya archive.Japo I know both of them, I never know that they met for the first time in 1989 at Bahari Beach hotel, Dar es salaam, this means I might be the one who joined them together, because I was the one who invited Linda to that event at Bahari Beach, though not sure if it was that event of mine or some other events but on that event Linda was the lady of the night. I will cross check with Linda sometimes baada ya msiba.
That event was a wedding reception of mtoto wa kigogo mmoja, a big shot in the State, I was the MC, there was something that needed a super model, and that's where Linda came to my mind, I approached her at Half London, she clinched the deal, she dressed to kill and infact killed someone!
Rip Mali
P
Kitu kama waliachana. ... Nisije kuropoka nikamsemq mfiwa na mkewe hebu tuwaache tuIla waliachana sijui?