Uzuri wake toto likiwa na tabia mbaya jumuia inayokuzunguka itasema toto la gh hussa hiloWrite your reply...malezi ni ya mama Hata ndege na wanyama wanaonyesha tu we toka lini jogoo akazunguka na vifaranga yaani tuache kutafuta tukae na mtoto mda wote maybe mda ukipatikana sawa ila 80%mlezi ni mama na watoto wanakuwa vizuri tuu toka enzi za mababu tuache uzungu
Mtusamehee tu, acheni tukatafute pesa tukirud tutacheza wote, ikifikia kwenye hio potty training mtafanya nyie
Tena wengine wanafikiri ni jukumu la dada wa kazi.
Tena wengine wanafikiri ni jukumu la dada wa kazi.