Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,417
- 9,806
Mwanamke anaestahili matunzo ya mwanaume ni mke. Mke akiwa mama wa nyumbani hapa mwanaume anawajibika kubeba jukumu lote la ustawi wa kiuchumi kwenye familia, mke akiwa anafanya kazi/biashara siku hizi wanajiita wapambanaji au super women basi super woman huyu nae anawajibika kuleta kitu mezani.
Mwanamke ambae anataka matunzo wakati hajaolewa huyu ni kahaba anaejiuza, ni pesa anayoitaka ndio inabadilishwa jina. Anaejiuza direct barabarani, kumbi za starehe au mtandaoni pesa anayopewa inaitwa bei na anaeuza indirect kupitia mahusiano ya kimapenzi pesa inaitwa matunzo(ingawa haistahili kuitwa ivyo). Kimsingi wanawake wote wawili hawa wanajiuza wametofautiana mbinu tu.
Anaepewa huduma za matunzo ni mke. Hakuna mwanaume mwenye jukumu la kumtunza girlfriend, kahaba au mdangaji. Dada angu kabla ya kujipa haki ya kunufaika kipesa au kutunzwa na mwanaume akikisha una cheti cha ndoa.
Rais wa UWABATA
Mwanamke ambae anataka matunzo wakati hajaolewa huyu ni kahaba anaejiuza, ni pesa anayoitaka ndio inabadilishwa jina. Anaejiuza direct barabarani, kumbi za starehe au mtandaoni pesa anayopewa inaitwa bei na anaeuza indirect kupitia mahusiano ya kimapenzi pesa inaitwa matunzo(ingawa haistahili kuitwa ivyo). Kimsingi wanawake wote wawili hawa wanajiuza wametofautiana mbinu tu.
Anaepewa huduma za matunzo ni mke. Hakuna mwanaume mwenye jukumu la kumtunza girlfriend, kahaba au mdangaji. Dada angu kabla ya kujipa haki ya kunufaika kipesa au kutunzwa na mwanaume akikisha una cheti cha ndoa.
Rais wa UWABATA