ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
- Thread starter
- #61
Nikulee nikusomeshe nikupe na mtaji na mke juu!halafu uitwe je ? mwanaume?Dah!, umeniuzunisha kweli, mawazo haya ya karne izooo kitambo wakati kuna mapori anaenda kufyeka hapate shamba.
Karne hii tayarisha mtoto aweze kujisimamia mwenyewe, mpe mtaji wa pesa au wa aina yoyote,mbinu za kuizalisha na mbinu za kulinda mtaji. Nyie ndo mnasababisha wasomi hawana kazi wanasubili kuajiliwa na vitu wanavyo kichwani